hili ni fundisho kwa wandishi wa habari kuacha unafiki na ubinafsi na kutete haki ya mtanzania,kwani kumetokea mauwaji mengi yanayo sababisha na polisi kama arusha,morogoro,mateso kama aliyopata ulimboka lkn wandishi wengi wahabari waliaza unafiki na kusambasa chuki dhidi ya dr na wananchi...
usikasirike dada ! hicho alichokufanyia daktari ni kitu cha kawaida katika kutafuta chanzo cha maumivu. kitaalamu ulipaswa kuvua chupi na sketi au suruali kama ulikuwa umevaa. Yamkini ulikuwa umevaa baibui ndiyo maana akakwambia uvue nguo. Lengo la kuingiza vidole ukeni ni kudadisi kama kuna...
Wazazi wake wamemtoa zawadi kwa ccm,kwa hiyo akili ni kama mzukule hafikiri hata akilishwa kama nguruwe hawezi kwa sababu ndiyo haki yake kama msukule kwa hiyo hana makosa kwasababu akili yake hafikiri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.