Recent content by kjembe

  1. kjembe

    Mwaka 2023 nitafia shambani, eeh Mungu nisaidie!

    Nalimia Sumbawanga, Rukwa. Karibu
  2. kjembe

    Mwaka 2023 nitafia shambani, eeh Mungu nisaidie!

    Sisi Vijana tunaopambana na kuamini kuwa bado tunaweza kupata mitaji shambani, Mungu wa mbinguni aendelee kutushika mkono. Binafsi nimepambana kutoka 2016 baada tu ya kuhitimu masomo yangu mwaka 2015 nikiwa nalima zao la Mahindi. Kwa bahati mbaya sana mwaka jana ndiyo ungekuwa mwaka wa mimi...
  3. kjembe

    Nipeni njia ya kuingiza $2 online kwa siku

    Hii nchi kuna majitu ni majinga sana. Can you imagine mtu anawaza apate hela kkisakuweka dola 2!!!? Endeleeni kupigwa
  4. kjembe

    Hisa za Vodacom zimeanza kuuzwa leo tarehe 15/8/2017

    Ni kwa nini Vodacom walisogeza hisa hizo namna hii?
  5. kjembe

    Macho kuweka rangi ya kawia na vijikovu kidogo

    Ndugu wana jamii Forums waslaam! nimekuwa na tatizo la macho ambapo hadi sasa ninalazimika kutumia miwani ili kuona mbali kwani baada ya kupima nilibaini jicho moja la kushoto kuwa na uoni hafifu, hivyo nilishauriwa kutumia miwani ili kulinda hili moja la kulia. Lakini ninashangazwa na macho...
  6. kjembe

    Kati ya samsung J series na A series ipi nzuri?

    Kaka wewe ni zaidi ya engineer! Hii ni makala ya mwaka jana lakini naiona inaweza kudumu miaka 50 mbele. Thumb up brother. The details are helpful and supportive.
  7. kjembe

    Naomba ushauri wa kupata simu ya nzuri za iPhone

    Wakuu kwa hiyo badala ya Sumsung A20 ipi inaweza kuwa mbadala wake kwa bajeti zetu hizi make inacheza 200,000 hadi 300,000? Ni simu ipi inaweza kufaa kqa kuanzia specifications na durability??
  8. kjembe

    ARUSHA: Polisi hawara aua mume wa ndoa kwa risasi

    Huyo mwanamke amethamini ukahaba kuliko utu. Aendelee na ukahaba
  9. kjembe

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa avamia mwendokasi, ahoji mapato yalipo kama wanashindwa kununua mabasi. Mkurugenzi wa fedha atumbuliwa

    Wewe ndo unakosea.. Waziri amefanya "Surprise Visiti" ina maana atakuwa na taatifa za awali, hapo n kwenda kuhakikisha tu. Yote aliyoyasema ni kweli tupu. Mfano mashine zilikuwa nzima sasa zimekufa na hakuna hatua yoyote
  10. kjembe

    Vitu vya kuepuka na vile vya kufanya ili kupunguza athari za vidonda vya tumbo

    Huu ugonjwa ni balaa sana, unaishi nao ni kama haupo lakini athari zake hutokea ukiwa na mawazo, ukila vyakula hivyo vilivyotajwa kwa wingi na maumivu ya kiuno. Watalaamu au mliopona mlitumia dawa gani kuondoa hilo tatizo?
  11. kjembe

    Wafungwa waliompora silaha Askari, kumjeruhi wakamatwa

    Majinga tu hayo, yaani unafanya ujinga wa kupora afu unakamatwa kizembe namna hiyo? Mapori yote hayo
  12. kjembe

    Dar: Wafanyakazi wawili wa Kampuni ya Mwananchi Communication wakamatwa kwa kusambaza taarifa za uongo za Corona

    Naomba kuuliza inakuwaje hadi watu wanakamatwa kutokana na meseji za whatsapp? Je, mkiwa na kundi lenu la watu watano ambao mna same interest na miashare habari za zinanzosemekana kuwa ni tofauti mnaweza kukamtwa pia? Kivipi mtakamatwa au hizi whatsapp zipo monitored?
  13. kjembe

    Naomba msaada Tiba ya Tonses au vidonda vya koo

    Asanteni sana ndugu, naendelea vizuri mno.
  14. kjembe

    Naomba msaada Tiba ya Tonses au vidonda vya koo

    Nimeanza kuwashwa kooni juzi na baadaye nikapatwa na homa kali kiasi hata kutembea nashidwa, miguu haina nguvu baada ya kwenda dispensary niliambiwa ni Malaria nikapewa Mseto. Baada ya kumaliza ndiyo nikazidiwa zaidi na kutokwa na vidonda kooni kama vinavyoonekana, nimenunua Azithromycin na Pen...
Back
Top Bottom