Sisi Vijana tunaopambana na kuamini kuwa bado tunaweza kupata mitaji shambani, Mungu wa mbinguni aendelee kutushika mkono. Binafsi nimepambana kutoka 2016 baada tu ya kuhitimu masomo yangu mwaka 2015 nikiwa nalima zao la Mahindi. Kwa bahati mbaya sana mwaka jana ndiyo ungekuwa mwaka wa mimi...
Ndugu wana jamii Forums waslaam!
nimekuwa na tatizo la macho ambapo hadi sasa ninalazimika kutumia miwani ili kuona mbali kwani baada ya kupima nilibaini jicho moja la kushoto kuwa na uoni hafifu, hivyo nilishauriwa kutumia miwani ili kulinda hili moja la kulia.
Lakini ninashangazwa na macho...
Kaka wewe ni zaidi ya engineer! Hii ni makala ya mwaka jana lakini naiona inaweza kudumu miaka 50 mbele. Thumb up brother.
The details are helpful and supportive.
Wakuu kwa hiyo badala ya Sumsung A20 ipi inaweza kuwa mbadala wake kwa bajeti zetu hizi make inacheza 200,000 hadi 300,000? Ni simu ipi inaweza kufaa kqa kuanzia specifications na durability??
Wewe ndo unakosea.. Waziri amefanya "Surprise Visiti" ina maana atakuwa na taatifa za awali, hapo n kwenda kuhakikisha tu. Yote aliyoyasema ni kweli tupu. Mfano mashine zilikuwa nzima sasa zimekufa na hakuna hatua yoyote
Huu ugonjwa ni balaa sana, unaishi nao ni kama haupo lakini athari zake hutokea ukiwa na mawazo, ukila vyakula hivyo vilivyotajwa kwa wingi na maumivu ya kiuno.
Watalaamu au mliopona mlitumia dawa gani kuondoa hilo tatizo?
Naomba kuuliza inakuwaje hadi watu wanakamatwa kutokana na meseji za whatsapp? Je, mkiwa na kundi lenu la watu watano ambao mna same interest na miashare habari za zinanzosemekana kuwa ni tofauti mnaweza kukamtwa pia? Kivipi mtakamatwa au hizi whatsapp zipo monitored?
Nimeanza kuwashwa kooni juzi na baadaye nikapatwa na homa kali kiasi hata kutembea nashidwa, miguu haina nguvu baada ya kwenda dispensary niliambiwa ni Malaria nikapewa Mseto.
Baada ya kumaliza ndiyo nikazidiwa zaidi na kutokwa na vidonda kooni kama vinavyoonekana, nimenunua Azithromycin na Pen...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.