Mimi nakumbuka shule ya msingi kulikuwa na jamaa muislamu alikuwa mtaalamu wa kupiga dufu balaa kasheshe ikaja kwenye paper jamaa akawa anachora tu picha za watu na magari kwenye karatassi ya majibu kisa hajui cha kuandika maana kazoea madrasa tu. Kibaya zaidi hata akitaka kuandika anaandika...
Well this is called autism and we all have at a different levels believe it or not, mtu kuwa autistic ni ilie hali ya kupenda kufuata taratibu fulani tu ktk mambo yako, na binadamu wote tuna hali hii. Nakumbuka kuna mshikaji yeye alikuwa na kiti chake darasani hata kama viti vyote vinafanana...
Na ukiona watoto wanakalia matofali au wanakaa chini mashuleni ujue ni ccm, na ukiona hakuna madawa mahospitalini ujue ni ccm na ukiona nchi inazidi kuangamia na hakuna maendeleo ya maana ujue ni ccm na ukiona kuna mgao wa umeme ujue ni ccm :teeth:
Kwa wale wanaotaka kusoma nchini UK hii hapa link ya sponsors Marshal Papworth Fund haswa kwenye nyanja ya kilimo tafadhali mtaarifu mwenzio kama wewe haupo makini kwenye hii fursa.
Wanaume tukifeli tunaweza beba mizigo piga matofali kwenda kulima shamba ili mradi kieleweka lakini wadada wengi mkifeli na msipoolewa mnakuwa manunga yembe (Dada pao).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.