Recent content by Kizygote

  1. K

    Kwikwi kwa mtoto mchanga: Chanzo na Tiba

    Ahsanteni wapendwa wangu wote kwa ushauri wenu.. mungu awabariki
  2. K

    Kwikwi kwa mtoto mchanga: Chanzo na Tiba

    Mkuu kipozi anafanyiwa hvo lkn haisaidii... Mkuu @jamii001 mtoti ajaanza kunywa maziwa ya kopo, ana wiki ya tatu tangu azaliwe.. na hyo kwikwi imeanza akiwa na wiki mbili toka kuzaliwa kwake.. yaan ni kila siku hadi inaogopesha.
  3. K

    Kwikwi kwa mtoto mchanga: Chanzo na Tiba

    Habari zenu wapendwa... naombeni msaada wa dawa ya kwikwi kwa mtoto mchanga wa wiki tatu.wiki ya pili sasa anateseka na kwikwi yaan ni kila siku mpaka analegea mwili. naombeni mnisaidie ameenda hospital lakini tatizo bado linaendelea.. hata dawa ya asili pia naomben mnielekeze jamani. AHSANTENI
  4. K

    Picha ya 'Pacha' wa Ally kiba

    ahahahahahahahahahahaha
  5. K

    Tanesco mmezidi

    Walitoa taarifa jana kwenye taarifa ya habari ya itv kuwa kukosekana kwa umeme maeneo ya temeke,mton, mbagala,kigamboni na maeneo ya karibu kumetokana na kuanguka kwa nguzo za umeme 4 au zaid.
  6. K

    Serikali ipige marufuku makanisa ya kilokole

    Daaah..!! Jaman huku kwetu segerea mwisho hatulali kabisa yaan wakianza kukesha na miziki yao kuanzia saa 4 usiku had saa 10 alfajir ndo wanamaliza.yan katika wiki tunapumzka siku 3 tu cku znazobaki zote wanapiga dansi zao. Wanaboa kwakwel mbona wakristo wenzao kama RC,LUTHERAN,ANGLIKANA hawapo...
  7. K

    TV 1 (Viasat 1) majangaa

    Jana niliona habari yao.Watangazaji wake wengi wametoka mlimani tv. Nawasiwasi hii ni mlimani tv.
  8. K

    hii nimeikuta mahali jamani....EBU ONA...

    Tobaa yaraab. Eti chapati shurti ikaangwe pande zote...
  9. K

    Nilichokikuta baada ya kupekua chumbani kwa dada wa kazi

    Acha tabia ya kupekua pekua ovyo vyumba vya kike. Utaota maziwa kaka shauriyo.
  10. K

    Mawazo yananiua!

    Nyooo. Ndo Ukome na ndo faida ya zinaa.
  11. K

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Mama ndo kila kitu hakuna zaid yake hapa dunian.
  12. K

    TAHADHARI KUBWA;UNAPOENDA KUPIMA H.I.V...UKIWA NA MTU AMBAYE NI BENEFICIARY WA MAJIBU!!must read.

    Daaah..!! Thanks kwa kunifumbua macho.. Kumbe ndo yatendekayo cku hiz.
  13. K

    Baada ya kuzama chumvini kaanza kutapika, kuharisha, yupo hospital

    Hahahahahaha.. Uwiiii...!! Mataya yangu mie.
  14. K

    Msaada wapendwa- bikra inanitesa

    Mmmh..!! Hzo comments zenu znamkatisha tamaa na kumuogopesha dada wa wa2.. Uckubal kusex dada uweke heshma cku ya ndoa yako.. Ni heshma sana hyo umejiwekea ucshawishike kabisa kuitoa hyo k2.
Back
Top Bottom