Niliwahi kuajiriwa sehemu kama meneja, HR alikuwa hanipendi pia alikuwa anapelekewa maneno ya uzushi kutoka kwa wafanyakazi niliowakuta...HR akaanza kunipa stress ili nisiwe comfortable, ananiambia resign otherwise sisi tutakutimua na huna uwezo kutushinda mahakamani. basi siku ya siku probation...
Unaweza kuwa na ndugu wa karibu wenye nafasi na wasikusaidie. Nimekutana na jamaa hata simfahamu, amenisaidia na naona mwanga sasa katika maisha yangu.
Tusichoke kutoa msaada, Mungu wa Mbinguni ambariki sana huyu ndugu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.