Recent content by kiziru

  1. kiziru

    Tuliowahi kufukuzwa kazi tukutane tupeane experience

    Niliwahi kuajiriwa sehemu kama meneja, HR alikuwa hanipendi pia alikuwa anapelekewa maneno ya uzushi kutoka kwa wafanyakazi niliowakuta...HR akaanza kunipa stress ili nisiwe comfortable, ananiambia resign otherwise sisi tutakutimua na huna uwezo kutushinda mahakamani. basi siku ya siku probation...
  2. kiziru

    Hii ndiyo mara yangu ya kwanza na ya mwisho kutumia vumbi la Kongo

    Nakuja PM Sent using Jamii Forums mobile app
  3. kiziru

    Kivuko cha Kivukoni TEMESA

    Haya matangazo wanatangaza wapi wakuu?
  4. kiziru

    Tembo waonekana ndani ya viunga vya Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)

    Miaka kadhaa iliyopita, miezi kama hii huwa Tembo wamekuwa wakionekana kwenye viunga vya UDOM.
  5. kiziru

    Natafuta Kazi

    Kila la kheri.
  6. kiziru

    Natafuta kazi

    Elimu yako?
  7. kiziru

    Pombe ilichonifanyia: Ndoto zimeyeyuka nahisi ‘nimeukwaa umeme’, nina hofu huenda nisiishuhudie Tanzania ya Viwanda

    Ukimwi upo wajumbe. Kapime afya yako leo. Tujihadhari na starehe ya mda mfupi.
  8. kiziru

    Tender: ICT

    Nahitaji kampuni ya ICT ya KUELEWEKA ifanye projects kadhaa kwenye kampuni flani. Tafadhari wahusika tuwasiliane. Asanteni.
  9. kiziru

    Kwa mahitaji ya nyumba au chumba cha kupanga Mwenge, Sinza, M/nyamala na Mbezi

    Natafuta mawasiliano ya dalali wa uhakika maeneo ya kinondoni, msaada tafadhari.
  10. kiziru

    Kijana badilika uaminifu wako ndo mtaji wako

    Unaweza kuwa na ndugu wa karibu wenye nafasi na wasikusaidie. Nimekutana na jamaa hata simfahamu, amenisaidia na naona mwanga sasa katika maisha yangu. Tusichoke kutoa msaada, Mungu wa Mbinguni ambariki sana huyu ndugu.
  11. kiziru

    Kijana badilika uaminifu wako ndo mtaji wako

    Asante sana kwa uzi huu juu ya elimu ya UAMINIFU. Pole kwa mkasa mzima. Ila mkuu usichoke kusaidia kwa wale wenye uhitaji.
Back
Top Bottom