Recent content by kizindalo

  1. K

    Je, Tundu Lissu bado unaamini kuwa Magufuli ni Dikteta Uchwara?

    Wewe hauamini, na una ngeuuuungeu
  2. K

    Msomi yeyote usikae bila kuwa na kadi ya CCM mfukoni

    Duuuh! Sijawahi kuona post ya kijing kama hii.....
  3. K

    BAVICHA wamuasi Mbowe, waapa kwenda Dodoma

    Mm nipo dom tayari
  4. K

    Wakurugenzi wapya walioteuliwa wameagizwa kufika ikulu na nakala zao halisi vyeti vya kitaaluma

    Nakala halafu vyeti halisi ndo nini? Huyu mkurugenzi wa mawasiliano ikulu nae jipu
  5. K

    Mnyika: Sina mpango wa kuhama CHADEMA

    Wewe nae uwe unasoma unaelewa...kakwambia source Mwananchi online ,clip inatoka wapi tena?
  6. K

    Serikali yaendelea kuwasomesha namba wanafunzi wa vyuo vikuu.

    Katika kampeni za mwaka jana CCM waliweka wazi kabisa kuwa Mtaisoma namba, tutakubali kuwachagua ili tuisome, na wametimiza ahadi tunaisoma! Chaajabu tunalalamika baada ya ccm kutimiza ahadi... Watz ni watu wa ajabu sana!
  7. K

    BAVICHA Mara safari yaiva kuelekea Dodoma

    Nimefurahishwa sana na neno UHABA....hahaha
  8. K

    Lowassa ajiandae kisaikolojia zaidi

    Mleta mada ni Lumumba, aka buku 7
  9. K

    Polisi na CCM mmekubali kuingia kwenye mtego wa CHADEMA

    Wewe buku saba unasema nyinyi? ??! Shame !
Back
Top Bottom