dogo nenda polisi kwa sasa kikwetekawaweka jamaa mahali kwa pazuri kwa mfano graduate wa governemnt fresh ni tgs d ambayoni 480,000 lakini polisi graduete ni 600,000na kula resheni na posaho mbalimbali kwa ujumla dogonenda ccp utakulakama 850,000 kwamwezi hapo ni resheni pamoja na marurupupu...
mkubwa nenda pale makitaba ukachukuwe mwenyewe mimi nimeshaenda ukifika pale wazingue uwaambie your post code is not active, but wamesema ndani ya siku kumi na nne,mimi naenda kuriport alhamisi
wadau na mimi nimefanikiwa kupata kazi kupitia utumishi, so nashukuru sana na nitaendelea kutafuta up date za ajira maana kupata kwangu hakumaanishi wana janvi wote wamepata, tuendelee kuomba mungu
matatiz tulia na kuwa na imani ipo siku utafanikiwa so omba mungu naamini we ni muumini wa dini fulani, hata ukimuona hr kama mungu hajataka upate utakosa tu
kama haumini mimi nilikua hombolo ilikua ni balaa na kwa sasa tunasubiria maumivu, lakin nahisi tutapata, lakini mbona kuna factor nyingi za kushortlist kwa nini wawajaze watanzania sehemu moja hali ya kuwa wengine wanakopa hiyo nauli pamoja na gharama nyingine ni bora ukadhurumiwa kwenye...
muache mdau alalamike lakin hata mimi nampa angalizo tabia za kulalamika sana zinamfanya mtu asijitume, kwani hata kama jamaa alichemka hatasema ukweli, watu kama mtoa mada wapo sana lakini siku akipata hata shukuru, kwa upande mwingine tume nao wajirekebishe kama ni kweli, mimi binafsi...
mdau ni kweli kazi hizo niliziino zaidi ya wiki mbili au tatu so sijui kama deadline haijafika lasivyo temmbelea PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT - PSRS. you can see something
mkubwa hata mimi nimeanza kuwakubari jamaa lakini wanatakiwa waweke matokeo hayo mapema sana ili watu wano kaaa mbali kama wamekosa wasafiri kurudi makwao ili kuwapunguzia gharama za kuishi mahali ponapofanyika usaili. huenda tukafika mbali kama hawa jamaa watajipanga vizuri. tusiwe watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.