Kwa wale waliofanya usaili na hawa jamaa wa COASCO, katika nafasi za assistant Auditor na Auditors II Tarehe 16/8/2012 pale Dodoma, vip majibu yao wakuu? Walishawaita watu kazini au bado tuendelee kusikilizia! Mwenye taarifa tafadhari atujuze!
Ni vema kama mtu ameuliza kitu jf na hauna info nacho ucreply mana anataka kupata taarifa na hii n forum ya nafas za kaz na tenda sio ya utani. tufunguke wanajf.
Usiwe na hamu ya kuitwa na hao jamaa, we endelea na mishe zingine kama zipo, endelea kufanya application kwingine usichoke mkuu, MUNGU atasaidia. Mwaka 2009 walitubakisha top 10 tunaojuana, na mpaka leo kimya hakuna aliyeitwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.