kwa waliofanya usaili secretariati ya ajira kwa mwezi august, bado hawajaita kazini? Naomba tujuzane mana tuliambiwa ndani ya mwezi na muda unazidi kwenda. Mwenye taarifa tafadhal!
plz jaribu kuweka maelezo mazuri ya kichwa cha habari una2changanya monday hii ok
maelezo ya kichwa cha habar yako tofauti.omba m2 mweye taarifaa cio kujiandikia as kuitwa kazin
Kama ukiona kimya jua binafsi kuwa haukufanikiwa.
hasanteee...