Kwanza nipende kuchukua fursa hii kuwa mm ni mmoja wapo walioshiriki kufanya written interview na oral interview,kiukweli mtihani ulikuwa wa kawaida ila ilikuja julikana kuwa kuna watu wao tayari walikuwa na number zao pamoja na majina yao hivyo pale ilikuwa ni usanii mtupu tena mkubwa kabisa!Naomba sana secretariet ya ajira iwe na independet watu wa kusimamia nafasi hizo wakati wa usaili,Tanzania ni kujuana kwingi ila ki ukweli Coasco hamkutufanyia sawa watu tumesafiri kutumia gharama kubwa kumbe tayari mna majina yenu tayari Big up wenye nchii hii.