[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] me kipind icho mama mzazi alinikuta na kabint ndani afu mm sikupigwa akawa anapigwa yule binti[emoji16][emoji16] kisa alinizid umri[emoji16][emoji16]
Balehe pia ilimtuma kufanya vitu out of his own control..! Although focus yake kwenye education ilibaki kuwa strong..!
Wote tumepitia hii foolish age na ni wachache sana walipita salama kabisa bila mikasa kama hii
NB:kisheria pale mwananchi anapotokea na kuliendeleza eneo lolote kwa kilimo, ufugaji au activity yoyote kwa zaidi ya miaka 10 basi eneo hilo litatambulika kama ni mali yake kwa asilimia 60-70 pale ambapo atatokea mtu na document halali basi hana budi kuishi katika hizo sheria hapo. So kimsimgi...
Umetoa somo zuri sana professor. From my little knowledge kwenye sekta nzima ya Ardhi ni kuwa Raisi ni msimamizi mkuu wa Ardhi but sio mmiliki wa Ardhi nzima ya nchi yetu na hana mamlaka ya kuchukua ardhi kwa mwananchi pasipo kufuata sheria zote za wamiliki wa ardhi katika eneo husika. Na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.