Wanaboard.
Serikali ya Demark iliyoko madarakani ina wakati mgumu sana kwa walipa kodi wake na wananchi wote wa Demark kwa Ujumla.
Walijifunga mkanda ili waweze kuwasaidia watanzania kuendesha serikali yao na misaada mengineyo ga maendeleo.
Badala yake kodi zao zimetumika vinginevyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.