IMEELEZWA kuwa Tanzania ni kinara katika suala la udahili wa wanafunzi katika elimu ya awali barani Afrika na hivyo kuifanya kupiga kubwa katika utekelezaji wa maelengo ya maendeleo endelevu (SDGs).
Mafanikio hayo yanatokana na serikali kutoa elimu bure bila malipo ambao umechangia kuongeza...
Na.Faustine Gimu Galafoni,Dodoma.
Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi amekabidhi hati ya viwanja kwa wananchi 144 wa Kata ya Tambukareli ambao maeneo yao yalitwaliwa na Serikali.
Kunambi amekabidhi hati hizo leo Julai 31,2019 kwa wananchi hao ambao wamekuwa wakihangaika takriban...
Pole sana u mvumilivu sana!kwa ushauri wangu mdogo, kwanza ulikosea sana kukalabati nyumbani kwenu pesa hiyo ungejenga kwako,kwa kuwa una viwanja 6 unza 3 ujenge kwako na hamisha mama yako na wandogo zako pamoja na mke wako muishi pamoja,achana na mzee wako kata mawasiliano. na mshukuru MUNGU...
Mkurugenzi wa kliniki ya macho ya Karibu Eye Center, Abdillah Dada amezungumzia athari zinazoweza kujitokeza kwa watumiaji wa vifaa vya mawasiliano ikiwamo kompyuta, simu, tableti.
Taasisi Kuzuia na Kupambana na Rushwa Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma inawashikilia Watumishi saba wa Wilaya ya Kakonko akiwemo Mganga Mkuu wa Wilaya hiyo kwa tuhuma za ubadhilifu katika ujenzi wa Kituo cha Afya Gwanumbu ambapo Zaidi ya Milioni Tisini hazionekani matumizi yake.
Hayo yamebainishwa...
Shirika la viwango Tanzania (TBS),limewataka wazalishaji wenye bidhaa zilizokidhi matakwa,
ya viwango na kukabidhiwa leseni za kutumia alama ya ubora,kuhakikisha wanatumia fursa
hiyo kupanua masoko yao ikiwa ni pamoja na kuuza bidhaa zao nje ya nchi.
Serikali imewahakikishia wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya kilimo,mifungo na maji kuwa kufikia tarehe 31 machi 2019, wakulima wote watakuwa wamelipwa fedha zao kwani uhakiki umekamilika kwa kiasi kikubwa.
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wakandarasi wanaojenga majengo mbalimbali nchini yakiwemo na ya Serikali wahakikishe wanazingatia viwango na waache kulipua kazi. Hata hivyo, Waziri Mkuu amewataka wakandarasi wawafundishe kazi mafundi wasaidizi wanaowatumia katika ujenzi wa miradi malimbali...
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini Mhe. Mariam Ditopile Mzuzuri amesema kamati yake inaipongeza na itaendelea kuiunga mkono Wizara ya Madini kwa kazi nzuri wanayoifanya.
Akiongea na waandishi wa habari mbele ya kamati yake Machi 13, 2019 mjini songea baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.