wadau naomba mnijuze,ni lini tutatangaziwa shule wanazoenda watoto wetu wanaotarajia kuanza sekondari?mtoto wangu amepata b masomo yote,na ana avarege b,je hiyo itamuwezesha kupata shule nzuri?
Tigo oneni haya.mmenitumia sms eti sms zangu zimeisha wakati nina kifurushi xtreme siku saba.huwa sipendi kuita watu wezi ila kwa haya tigo mnatufukuza.
Polisi kuua si vyema,lakini tuwe waadilifu.hivi uwashushe watu wanaotekeleza kazi zao kwenye nguzo kwa manati,waje polisi uwapige visu.halafu wakuchukue kama bi harusi?Polisi nao ni binadamu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.