T.Mwambungu
Senior Member
- Jan 25, 2013
- 198
- 43
>Nasubiri wizara ya Wakwere.
Hawa viumbe huwa mnawaonea sana...aiseeeWahaya=huduma kwa jamii
Wasambaa=umbea na mapenzi
Wasukuma=wizara ya uchawi
Wahaya=huduma kwa jamii
wanyakyusa mbona hamjasema jmn
Hawa ndo watu pekee wanaweza kumudu wizara yoyote, Ulinzi-Sungusungu ilianzia kule, Kilimo, Uvuvi na Mifugo-hapa sina sababu ya kuelezea, Madini-kila mtu anajua wachimbaji wadogo ndo walikoanzia, Biashara na Viwanda-Hawa wamefanya barter trade na ndugu zao Walongo siku nyingi sana, pia hata viwanda vidogovidogo kama kufua vyuma ndo vilianzia huko, Utamaduni na michezo-Hapa ukoo wa Mwanamalundi unahusika.Wasukuma=wizara ya uchawi
wanyamwez-wizara ya uviv na umbea