Hahahaa na hili la kuteka na kuficha kisha kujitangazia muda wakuatoa waliopotea wewe unaona ni kawaida eeti....huu ndio mwanzo wakuchanganyikiwa na kuweweseka just wait u wl see
Aisee ur right, Diamond z a qualified idiot!!akae tuu kimya maana zamu yake bado...na lait kama watu wote wangekua na mawazo ya kipuuz kama yake Tz ingekua bado kolon la muingereza na south isingekua huru...tatizo mlimpeleka twishen ya kiingereza tuu mkasahau mambo ya msing...
Noo ameteua wanaume sita ila mmoja kajiuzuru....achen kufagilia ujinga!!inamaana yy alikua hajui katiba inamruhusu kufanya nn, na kwann asiulize wale maprofesa na madactar wa sheria waliomzunguruka ikulu au alijua uongoza nchi nisawa nakuongoza familia....fyuuu
Aisee lazima angedhurika...maana waliomchukua wangechafua hali ya hewa, lazima mabomu yangehusika....na mida hii tungeambiwa alikua anafanya maandamano...hii ndio tz ya Leo..
Mimi nashangaa tuu au labda sijui maana yakusema ukweli!!maana kila siku mtukufu anajisifu kua yeye ni msema kwel na msema ukweli ni mpenz wa Mungu lakini mbona akiambiwa yeye ukweli anafura...au anataka yy ndio awe mpenz wa mungu pekee tz..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.