Niliagiza Soundbar mtandaonifrom UK samsung brand, ni touch buttons even power button mzigo hauwaki, haina remote! Kwa mwenye experience na mziki wa hivi shida inaweza kuwa nini au mpaka remote ipatikane!
Hii issue imenitokea na mimi asee juzi tu mwezi huuwa kumi nimeshindwa kuelewa kwenye hela asee wameenda vibaya kiukweli wanaweza kukuchota vzurii.
We are writing to inform you that after reviewing your resumes, you have been shortlisted for the above reference in our organization.
This...
Habari za mida wakuu.
Nina changamoto katika kulogin kuuply for loan. Kila nikiweka namba ya shule(form 4 index number) naambiwa shule haipo; Je kuna aliokutana na tatizo hili na je ninaanzia wapi kulitatua?
Asanteni.
Hii imenitokea pia nilijisikia dalili za homa siku iliofata nilipima vitu vitatu ikiwa ni pamoja na maralia na uti vyote vikawa neg nikapewa dozi ya Alu ikihisiwa ni maralia iko kwene incubation stage: lakin baada ya kupiga Alu nimepoteza harufu na ladha siku ya saba leo.
Sent from my iPhone...
Shida sio mfumo wala ukoloni hapana.
shida ni kuwa tulikuwa nyuma duni sana, katika technologia duni tukawa upgraded katika mfumo mzuri sana uliotuzidi uwezo bila kupitia steps katika development hivyo kutufanya tushindwe kujua tena tutaendelea vipi wakati mambo yote tunayo na mbaya zaidi ni...
ohoooo nimekupata mkuu, Nazani tatizo ni mfumo wao wa ulipaji. sasa kama inajirudia mara kwa mara kwanini wasibadilishe huoni kwamba kuna uzembe fulani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.