Kitu cha kwanza, pata iyo proof. Zinapatika chuoni ulikomaliza au unakosoma....pia kuna some college hasa USA wao kama O level English ulipata c,B, Or A unapata tu admission
Wengi wetu wanatafuta full scholarship, let say kwenye chuo fulani. Wakati vyuo vingi hutoa partial scholarship zen unaeza omba sehem iliyobaki kwenye agency/ taasisi/ project zingine...na ukasoma vizuri.
Kuna vyuo baadhi wao hawahitaji iyo IELTS... wanahitaji proof tu kuwa degree uliyosoma, masomo yake yalikua yanfundishwa kwa kingereza basi....hii inakua njia ya kuanza kua apply ufadhiri coz utakua umepata offer ya masoma kwa chuo,...
Kabla ya kwenda kwa interview, make sure umefanya kauchunguzi kwanza..k
Salary scale ya iyo company....
Zen linanganisha elimu na post unavoomba. Unapata jibu
Habari wanajamvi.
Natarajia kufungua company itayojihusisha na events kama wedding, matamasha N.k...
Naomba kujua gharama na upatikanaji wa Tents, hasa zile za kufanyia open events.
Natanguliza shukrani.
Nimejaribu kuwauliza walioko songea. Watu kama watano wamenipa visa/ sababu tofauti. Kila mtu anasema alichosikia.....tukumbuke info za kijeshi huwa zinatoka kwa utaratibu na sababu maalumu. Sio kama yule kamanda wetu wa mkoa maalum anavofanyaga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.