ushaur wa bure kwa wanaogopa kunyonyesha kwa madai ya kuogopa kuharibu maziwa kuna kansa jaman!for all women! Unavyonyonyesha mara kwa mara unapunguza uwezekano wa kupata kanza ya mazima! Take in considaration for your benefit.
nauliza swal kwa anaejua kama hujui ucjibu ukae kimya ctak majbu ya kejel plz! Application za vyuo vya certificate ni ln? Kwa nursing and tearching! Kwa waliomaliza kidatoa cha nne! I need ur help.
acha majungu we kiumbe mbona elimu yako haikusaidii....! Kama machaguo yangu nimechagua 2 private utasema nimepata division three mbaya kwa kuwa nipo private! Think b4 u done that's why unapata GPA ndogo unakurupuka mpigamsul!
hilo ndio la muhimu kwan vingine ni mbwembwe 2 kwan huwez kusema chuo fulan ni bora kuliko kingine huku mkikutana kazini na chuo chako ulichoona bora unakuwa hana ki2!
kiukwel walimu wa dot com ckuhiz maadil ni zero inabida serekal ingilie kat kwan sa hv heshima hakuna tena kama zaman ilivyokuwa! .hasa kwa wale wanaotoka form six moja kwa moja kwenda university bora wanaopitia diploma kule naona kuna maadil ya kiuwalimu! Chuo kikuu maadil ya ualimu ni sifur...
achana nae 2 dada angu mwisho ataweza kukuletea magonjwa uje kujutia useme bora usingemrudia ndio hivyo ninge haitangulii!achanae atakupa 2 pressure my dia pole sana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.