Uthibitisho gani unauhitaji wewe?
"Yule bwana" jana kakiri kuwa alivamia na clip za video zimeonyesha kuwa kavamia,wewe unataka nini tena?
Ruge aende Polisi akamshitaki nani kwa nani?
Hivi kwa akili ya kawaida tu,unaweza kumshitaki mtu kwa kosa la kuvamia ilihali wenye mamlaka wanajua kuwa ana...
hakuna haja ya kuzungumzia uchaguzi wa 2020
uchaguzi wa mwaka huo bunge zima litakuwa CCM tupu
watahakikisha hakuna anayeshinda kwa namna yoyote ile.
cha kufanya ni kujaribu kuwaelimisha wabunge wa CCM wakubali kututetea kwenye bunge hili lianaloendelea
kama ametendwa unyama huo aeleze tu ili kuwaumbua hao watekaji.
hawawezi kumteka tena mara ya pili
cha muhimu kukijua ni kwamba kama watekaji walipanga kukuua basi ni lazima wakuue na kama watekaji wamepanga kukutesa tu,basi watakutesa halafu watakurelease au wakupoteze kama Ben Saanane
Roma...
Bunge la Tanzania linaweza kupitisha azimio la kumtoa Rais madarakani kwa mujibu wa Ibara ya 46A ya katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Kwa kufuata utaratibu ufuatao;
1. Rais lazima awe ametenda kati ya yafuatayo;
A. Ametenda mambo ambayo yanavunja Katiba au sheria ya maadili ya...
OK
ni sawa Mange amesema uongo haya wewe tueleze ukweli ulionao
jamaa kachukuliwa hatua gani za kinidhamu?
mliojitolea kumtetea Bashite mtateseka sana kufukia ukweli wa ukilaza wake
maana matendo yake ya kila siku yanadhihirisha kuwa Bashite ni kilaza, hana uwezo hata kidogo kwenye bongo yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.