Hahahahaha nimecheka kama mazuri hivi ila mi wangu anamiezi 11 na anafanana na watoto wa jamaa alifikia wife wakati anakuja town kwa ajili ya maandalizi ya ndoa but navunga nalo tu nangoja akue kue ukweli utabainika but now naguhumia ndani kwa ndani
Malaika ni mdogo baada ya Mungu ni binadamu kisha malaika then shetani
Malaika wapo kumtumikia Mungu na sisi
Nikitulia nitakuonyesha maandiko ndani ya biblia
4 Mtu ni kitu gani hata umkumbuke, Na binadamu hata umwangalie?
5 Umemfanya mdogo punde kuliko Mungu; Umemvika taji ya utukufu na...
Hahahaha baada ya kusoma ule Uzi Wa Jamaa anazungumzia Mungu Wa walokole akagusia habari za malaika
Ili nipa hamasa sana ya kutaka kuona malaika
Sasa wakati nipo kwenye maombi ya jioni siku ya alhamisi wakati nimezama kwenye maombi ile story ya Jamaa ikanijia kichwani
Nikaona hapa hapa kwenye...
Mcheki huyu ana Neema ya ajabu ya kukomesha uraibu wa aina yeyote. Iwe pombe,sigara,kujichua,bangi,nk na Hata kama unatabia usizozitaka hapo ndio mwisho
Nimeshuhudia wengi wakifunguliwa kutoka katika tabu hizo
Haihitajiki hata mia yako ni wewe tu na nia yako ya kutoka hapo
Mimi nilipata changamoto ya kusimamisha hovyo bila sababu za msingi
Ila nikagundua shida ni karanga ninazopenda kula nikaacha
Ambalo bado linanitesa yaan nikipiga bao la kwanza naonganisha nipate walau la pili ila ndio sipati huwa naamuamua kuacha kwakuwa wife anakuwa ameshatisheka
Ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.