Nini dawa ya uume kusimama kwa mda mrefu

Nini dawa ya uume kusimama kwa mda mrefu

Nina tatizo ambao wanajua naomba wanisaidie toka niowe mke wangu kwasasa tuna wiki 3 na nusu toka tuoane
Ila kila nikipiga game na mke wangu uume wangu unasimama kwa mda mrefu bila kulala na kwa bahati mbaya si mwagi kabisa na nikibahatika kumwaga na mwaga kidogo
Japo mke wangu Ana enjoy lakini Mimi hali hii inanikera
Sijui tatizo ili ni nini

Hilo ni tego linaitwa lyang’ombe
 
Angali isikute mkeo anakulisha viagra kwa siri. Ulikuwa na hilo tatizo mwanzoni?
 
Kuna viumbe vimeumbwa kwa ajili ya ngono na wewe ni miongoni mwa viumbe hivyo kwa kifupi wewe ni kiumbe ngono
 
Nina tatizo ambao wanajua naomba wanisaidie toka niowe mke wangu kwasasa tuna wiki 3 na nusu toka tuoane
Ila kila nikipiga game na mke wangu uume wangu unasimama kwa mda mrefu bila kulala na kwa bahati mbaya si mwagi kabisa na nikibahatika kumwaga na mwaga kidogo
Japo mke wangu Ana enjoy lakini Mimi hali hii inanikera
Sijui tatizo ili ni nini
Mimi nilipata changamoto ya kusimamisha hovyo bila sababu za msingi
Ila nikagundua shida ni karanga ninazopenda kula nikaacha

Ambalo bado linanitesa yaan nikipiga bao la kwanza naonganisha nipate walau la pili ila ndio sipati huwa naamuamua kuacha kwakuwa wife anakuwa ameshatisheka

Ila nikiacha itachukua hata nusu saa ndio ilale inasimama mpaka nahisi maumivu

So kuepuka tabu hiyo na hakikisha nimemkojoza kimoja kabla ya mechi ili ibakie Mimi tu hivyo napiga kimoja nikimaliza tu game inaishia hapo
 
Back
Top Bottom