Recent content by Kitokosi

  1. K

    Niko addicted na Mlima Kilimanjaro! I love this Mountain...

    Duuu babu kumbe ulivuta sana Stella si bado kidogo tu!!? Next time unamaliza
  2. K

    Niko addicted na Mlima Kilimanjaro! I love this Mountain...

    Wale ma porter hadithi nyingine kabisa wenyewe wanapenda uwaite Wagumu si mchezo jamaa wako fit. Duuu jiwe la kubusu pale unaenda na zote 4 unakwea kama tumbili.
  3. K

    Niko addicted na Mlima Kilimanjaro! I love this Mountain...

    Ndugu yangu unanitia hamasa sana shukurani
  4. K

    Andrew Nyerere awatemea cheche TISS

    Hebu tafakari halafu sema we ulitakaje yaani kama ungekuwa wewe Mwl Nyerere ungefanyaje kuhakikisha kizazi chako hakiishi kwa shida baada ya kifo chako. Kama utakuwa mkweli utakuta mawazo yako ni muflisi kabisa unatilisha huruma kabisa!!!!
  5. K

    Niko addicted na Mlima Kilimanjaro! I love this Mountain...

    Mkuu mi nilijaribu mwaka jana nikaishia barafu kwa kupitia Machame mwaka huu nataka kukata rufaa nitakutafuta tuone tunafanyaje. Ila nakubaliana nawe ni bonge la adventure tamu sana
  6. K

    Zitto: Taarifa ya CAG inaonyesha deni la taifa limeongezeka kwa asilimia 168

    Kweli tupu bahati mbaya hatujui hilo kabisa....ahsante sana mkuu kwa kuliona hilo
  7. K

    Rais Magufuli ashangaa Majaji kwenda likizo Ulaya kwa gharama zao, amtaka Jaji Mkuu kuchunguza

    Wacha uwongo wewe Ulaya gani umayosema wewe mtu kipato cha kawaida aende mbali na familia yake akae Siku 28!!!! Hakuna kitu kama hicho. Hebu tuache ujinga anachosema Magu sawa kabisa mahakama ilikuwa pango la rushwa na bado iko hivyo.
  8. K

    Kwanini watu weusi wana IQ ndogo sana?

    Nimependa sana huu uzi na ukitaka kuona Mwafrika ana akili ndogo suala kama hili haoni kama ni muhimu sio tu ana akili ndogo lakini Mwafrika mvivu sana kufikiri jambo ngumu linalotaka kupembua kwa kina halitaki na atalibeza na kuleta majibu mepesi. Waafrika tuna matatizo sana!!! Matatizo yetu...
  9. K

    Kama Taifa hatujui tulipo wala tunapoelekea

    Wacha uwoga wewe!!!! Lazima tuwe smart sawa!!! Lakini sio waoga, kama kuna wizi au dhuluma hao wageni walitufanyia kwa mfano huko kwenye madini na mali asili na utalii wacha tuweke mambo sawa kwa faida ya kesho. Kama itabidi tulipe kwa uchumi kuyumba tuwe tayari kukabiliana na hilo mwisho wa...
  10. K

    Uafrika ni Nini haswa??!!

    Wakuu nimeona huu walaka kwenye tovuti ya BBC ikanifanya nijiulize kidogo. Hivyo sisi Waafrika tunajitambuaje au tunajitambulishaje. Soma hii nakala uone jinsi wenzetu wa Kameruni wanavyo uana kwa kutumia utambulisho ya mabaki ya Ukoloni. Bahati mbaya nakala yenyewe iko kwa Kiingereza...
  11. K

    Ernesto Che Guevara na ziara zake nchini Tanzania

    Hii nchi ya Tanzania basi tu tunainyea sisi vijana wa leo lakini ni nchi yenye heshima kubwa sana duniani kihistoria haswa linapokuja swali la ukombozi na harakati za mapinduzi Afrika na duniani kote. Tuombee iwe kuwa tumepita kwenye kipindi cha mpito na kwamba tutarudi tena katika hali yetu...
  12. K

    Uzi maalum wa wana Mzizima aka Dar es Salaam

    Huyu wa kati aliepozi ki Kung fu atakuwa Teddy Mbarak bassist wa Tatunane pia.
  13. K

    Licha ya sekeseke, Adam Malima kapewa ukuu wa mkoa. Nape ana mengi ya kujifunza, bado hajakomaa kisiasa

    Hapa ndio matatizo yetu: Mi nilidhani utazungumzia huyo Adam alistahili kuteuliwa tena kwenye uongozi?! Adam Ana kashfa kashfa yule inakuwaje kumrudisha tena maana Leo mkuu wa mkoa kesho waziri. Hapa ndio siielewi serikali ya awamu ya 5 ingawa mimi ni mshabiki wa serikali hii. Kuna kachembe ka...
  14. K

    Waziri Kigwangalla aagiza kampuni ya Uwindaji ya OBC ya Loliondo kurudi walikotokea kabla ya Januari 2018

    Tanzania's Maasai battle game hunters for grazing land Kama ndio hii kampuni ukiweza kuifunga Mheshiwa Waziri utakuwa umefanya jambo la Kizalendo sana
Back
Top Bottom