Kweli kabisa mkuu...Hata Bade wa TRA kuna watu wanasema kaonewa angepewa mda...sasa mda gani wakati makontena yanayeyuka bandarini kila siku...Mwakyembe aliunda tume majbu hatukupata. Hapa ni kuchukua maamuzi hapo hapo
Hata mimi nimewashangaa baadhi ya watu.....kwanza kwa organisation kama ile yawezekana ile ni gari ya kazini kwani siyo lazima iwe na no za DFP...Ila hata kama n yake me sion ajabu V8 hata 100m unapata kwa sasa. Kweli yule mama ashindwe kuimiki V8 akipenda? Ikumbukwe pia ye hutetea matumizi...
Jamani Rorya kwa Lameck Airo mwenye matokeo please. Kulikuwa na jembe la UKAWA anaitwa Owawa alkuwa anamperekesha balaa sidhani kama atapona. Pipooooooooz
Hivi mgombea ubunge Itilima ndo yule Magile aliyeacha kazi TBA-Mwanza au? Alafu nahisi kama alishika no mbili kwenye kura za maoni akapitishwa na maamuzi ya juu....mwenye taarifa za uhakika please
Mmmmh...mwenzangu cjui kama unaelewa maana ya liability. Nina uhakika wengi wanaomshabikia Edo humu JF walifurahi sana alivyokatwa CCM ila alvyokuja UKAWA tukaanza kumuunga mkono kwa sababu nia ni mabadiliko. Sasa cjui hao ni liability au assets.
Huwa sipendi kucoment matusi ila umemkomesha kaka....nakupa big up sana....huwezi mdhihaki Mungu kisa unajiona una afya nzuri. Hujafa hujaumbika. Wasije shangaa huyo EL wanayesema mgonjwa wakamtangulia mbele ya haki.
Ipo kwa wallet....yaani kila nikitoa kitu toka kwenye wallet lazima niichungulie kucheki kama ipo salama. Nina machungu na hawa watu baba yanguuuuu!!!!! Ntapanga foleni hata mvua ya mawe inyeshe cku hyo lakini lazima nishiriki katika kuyachinja.....
No. 4 umekosea sana mkuu....hufaja hujaumbika. Mungu hadhihakiwi, Komba alisema Warioba anakaribia kufa ila mwishowe akatangulia yeye so usisema jamaa mgonjwa so hapaswi kuchaguliwa unaweza shangaa akapona (kama mgonjwa kwel) na akaendelea kuwatumikia watanzania kwa mafanikio endapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.