Meneja kampeni: Lowassa atashinda kwa asilimia 82

Meneja kampeni: Lowassa atashinda kwa asilimia 82

Nimemuona mzee wa kukata utepe anongea na mapovu yanamtoka, yaani wanatia huruma ila kichapo kipo palepale.

Kumbe nawe umemuona ???! Kanichefua nilikuwa nakula imebidi nikiache chakula changu kipenzi
 
Nimemuona mzee wa kukata utepe anongea na mapovu yanamtoka, yaani wanatia huruma ila kichapo kipo palepale.

Ha ha ha, yaani ile nyomi za pemba znz hata robo hawajafika,
Huyu mzee akienda Unguja ccm watajificha ndani
 
Angesema asilimia 100 kabisa ili manyumbu mjipe kick za mwisho. Ila huyo fisadi hapati hata asilimia 10.
Pete yake ya kichawi inawavuta mazuzu kwenye mikutano lakini haina nguvu juu ya masanduku ya kura

Alikopata hiyo pete mlikuwa wote eti !!???

Tatizo tume si huru na hasa ofisi za wakurugenzi wa halmashauri za miji na walaya. Lowassa angeshinda mbali sana
 
Meneja kampeni wa CHADEMA Bwana Mrema, amesema mpaka leo wanauhakika Lowasa atashinda kwa asilimia 82.Wanatarajia asilimia hizo kuongezeka watakapo malizia kampeni mkoani Mbeya.

Source; ITV habari
Ni kauli za kisiasa...hakuna chama kitashinda zaidi ya asilimia 60 kusipokuwa na uchakachuaji!
 
Meneja kampeni wa CHADEMA Bwana Mrema, amesema mpaka leo wanauhakika Lowasa atashinda kwa asilimia 82.Wanatarajia asilimia hizo kuongezeka watakapo malizia kampeni mkoani Mbeya.

Source; ITV habari

Ziara ya Lowassa Mbeya ndio inaenda kuizika CCM rasmi...
 
Lowassa Itilima kaambiwa atapata kura lakini mgombea wa Chadema hawampi kura

Hivi mgombea ubunge Itilima ndo yule Magile aliyeacha kazi TBA-Mwanza au? Alafu nahisi kama alishika no mbili kwenye kura za maoni akapitishwa na maamuzi ya juu....mwenye taarifa za uhakika please
 
Lowassa Itilima kaambiwa atapata kura lakini mgombea wa Chadema hawampi kura

Kwa uhuni aliofanyiwa bwana makondo na viongozi wa jimbo, mkoa na kanda hats ofisi ya katibu mkuu nawaunga mkono wananchi wa itilima ila maombi yangu kwao ni kumpigia Kura nyingi bwana makondo huko huko alipo ndiyo fadhira zetu kwake kwa kukijenga Chama mwa gharama kubwa halafu wahuni wanne wakabadilisha matokeo baada ya kupewa rushwa kubwa na mgombea wa ccm.
 
Hivi ndugu, hizo milioni 398 Si zingeweza kusaidia hata kule hospitalini maana madawa hamna na mambo ya msingi watu wanayakosa huduma za kijamii.
Hivi tujiulize hao wanaopata hapo milioni100, wengine 21 ni kutokana kwa kipi haswa walichokifanya mpana wapaye pesa zote hizo?? Haya ni matumizi mabaya ya pesa zetu sisi wananchi.. mwaka huu ni mwaka wa mabadiliko Mungu aisaidie nchi yetu.

Na kiasi hicho ni malipo ya siku zisizozidi tano, ukipiga hesabu siku zote za uchaguzi ndo utaumia zaidi. Watu wanapigania kufa na kupona kubaki ili kulinda issue zao.
 
Alikopata hiyo pete mlikuwa wote eti !!???

Tatizo tume si huru na hasa ofisi za wakurugenzi wa halmashauri za miji na walaya. Lowassa angeshinda mbali sana

Makamba na wenziye walisahau kuedit kuwa ccm inaungwa mkono na wajinga wasiojua kusoma na kuandika kitu ambacho ni kweli kabisa yaani MTU an ayejitambua hawezi kuvaa T-shirt na kapelo ya bure ya ccm ni mijitu mijinga tu isiyokuwa na mbele au nyuma ndiyo inayoshabikia ccm.
 
Uhakika wangu ni Lowassa ataongoza mikoa yote kwa kura...
Na atapa votes up to 85%....!!!

85% sina shaka nalo...!!!

✌✌✌👏👏👏👏
 
Hivi mgombea ubunge Itilima ndo yule Magile aliyeacha kazi TBA-Mwanza au? Alafu nahisi kama alishika no mbili kwenye kura za maoni akapitishwa na maamuzi ya juu....mwenye taarifa za uhakika please

Kwenye kura za maoni bwana Martine makondo alishinda mwa kura zaidi ya 360 na bwana MAGILE kura 120 cha ajabu viongozi wa jimbo na mkoa hata taifa wakarudisha jina la mshindi no. 02 .Bwana makondo kipenzi cha wanaitilima akashauliwa achukue form ya cuf na wananchi wakamwomba bwana MAGILE ajitoe ila amekataa ndo maana wananchi wameonesha hasira zao kuanzia mwa mama lowasa.
 
Meneja kampeni wa CHADEMA Bwana Mrema, amesema mpaka leo wanauhakika Lowasa atashinda kwa asilimia 82.Wanatarajia asilimia hizo kuongezeka watakapo malizia kampeni mkoani Mbeya.

Source; ITV habari

Porojoo
 
luwasa anajua hapendwi, anajua mafuriko yake ya kutengeneza sio uhalisia kwamba anapendwa, hafikishi hata asilimia 40%
 
Kutamka kwa mdomo Mbona rahisi hata mimi nakuambia mangufuli atashinda kwa asilimia 99.9.hata meneja wa rungwe au dovutwa hakwambii watashindwa ndio maana wako kwenye kampeni.ukweli ni25/10.hapa kazi tu
 
Angesema asilimia 100 kabisa ili manyumbu mjipe kick za mwisho. Ila huyo fisadi hapati hata asilimia 10.
Pete yake ya kichawi inawavuta mazuzu kwenye mikutano lakini haina nguvu juu ya masanduku ya kura

"Wewe gamba, nenda kamuulize meneja kampeni wa magamba au mgombea wa magamba ile Nembo anayotumia kwenye matangazo yake ni alama ya wapi? Angelia hiyo attachment...naamini ukishajiridhisha utatulia halafu utajiuliza imekuaje yeye mvuto wake umeenda wapi?
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    60.9 KB · Views: 320
Back
Top Bottom