Recent content by kitiku

  1. K

    tukumbushane enzi zile mpwapwa sekondari

    daa hebu tajen majina yenu halisi niwakumbuke
  2. K

    Majina Matamu

    haaa we utakuwa mnyaturu wa ulyampiti tuu wewe
  3. K

    Majina Matamu

    1. mandawa na manenge 2. mwanamalundi 3. joram kiango 4. ridhiwani
  4. K

    Majina Matamu

    1. jenerali ibrahim babangida 2.Tundu lisu 3. mstahiki meya yule wa dar enzi hizo 4. M 23
  5. K

    Majina Matamu

    1. jenerali ibrahim babangida 2.Tundu lisu 3. mstahiki meya yule wa dar enzi hizo 4. M 23
  6. K

    Wimbo wa Taifa wa Zanzibar

    Sasa ww kama ndo ivo nn maana ya muungano?
  7. K

    Wimbo wa Taifa wa Zanzibar

    jamani kumbe zanzibar nao wana wimbo wa taifa. sasa swali hapa wa bara tuanapoimba....MUNGU IBARIKI TANZANIA INAKUWAJE HAPO?
  8. K

    msaada

    kama kuna member hum ana soft copy ya vitabu vya musiba kama vle njama, kikosi cha kisasi, hofu nk anidumbukizie humu
  9. K

    Naomba msaada

    kama kuna member hum ana soft copy ya vitabu vya musiba kama vle njama, kikosi cha kisasi, hofu nk anidumbukizie humu
  10. K

    Nape adandia digrii za kibongo zinazomea kama uyoga

    jamani hata kwa hili la maana mnapondea msiwe na usiasa kwa kila kitu. huu ni upuuzi
  11. K

    Huyu George Maratu wa ITV style yake ya utangazaji ikoje?

    jamani na umulikher wa docho nye.....
  12. K

    Star TV Tuongee Asubuhi: Tumejifunza nini katika Historia ya Majanga na Maafa yake Nchini?

    ni hivi uozo uliopo hasa kwa matrafiki ndo unatumaliza kwann huwa wanakutana nyuma ya gari?
Back
Top Bottom