Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,884
- 6,885
Kapata au kapewa degree na ya kitu gani
Hongera kwa kupewa!!!Hongera
nasikia kapata masters ya mambo ya utawala, hii ni moja kati ya zile masters "voda fasta" maana unakamata masters kwa kipindi cha miezi nane nayo ni part time, unit zenyewe ni saba tu, ongera bwana nape kwa kutoka na kitu vodafasta voda chapchap ya pale mzumbembona hapo naona anapokea card ya christmas au ndo vyeti vya bongo vilivyo?