Recent content by Kiti Chema

  1. Kiti Chema

    Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani

    Naomba kuuliza swali ni kwanini nyumba moja anaweza nunua umeme wa 1000/= akapewa Unit 8 na nyumba ya pili anaweza akanunua umeme wa kiasi hicho hicho cha 1000/= akapewa Unity 2.8 Shida inakuwa ni nini, wakati zote ni mita za matumizi ya nyumbani, Naomba TANESCO mlitazame hilo, mnatengeneza...
  2. Kiti Chema

    Tanzania Yasitisha Matumizi ya Dawa ya Kikohozi kwa Watoto

    Naombeni picha hata moja ya mfano wa dawa hiyo maana kuna mtoto anatumia dawa ya kikohoji na tumeinunua juzi tu
  3. Kiti Chema

    Fanya hivi usipofanikiwa niite mbwa nimekaa pale

    hapo ndio huw nafeli kiasi cha kukaa na ukata kwa mda mrefu, nashindwa kuicontroll fedha jamaa zangu
  4. Kiti Chema

    Kuna wanawake wajinga ila huyu ni mjinga nambari one

    Kamwe huwezi kutenganisha true love kwa kitu chochote,
  5. Kiti Chema

    Mnatumia njia gani kukabiliana na msongo wa mawazo (stress)?

    Thanks broo ingawa nahisi kuloose control but nitajitahidi kusawazisha vinavyonifelisha na kuninyima amani
  6. Kiti Chema

    Mnatumia njia gani kukabiliana na msongo wa mawazo (stress)?

    We are same moment tunapitia yaani hata sijui mwaka unaishaje, sioni cha maana katika mwaka huu.
  7. Kiti Chema

    Wakati sahihi kuondoa bikra ya binti

    Inamaana alama za ubikra ni ile damu sio, naomba kueleweshwa mkuu
  8. Kiti Chema

    Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

    Me naomba niulize tu kwa waliowahi kutoa bikra, hivi ushawahi kula demu ambaye pengineanajinasibu kuwa yeye ni bikra , ila damu hazikutoka unaposex naye kwa mara ya kwanza lakini uchi ukawa umebana,
  9. Kiti Chema

    Tambua ukubwa wa processor yako

    Processor haiwezekani kubadirishwa
  10. Kiti Chema

    Wakristo mjitafakari kwenye suala la mahari, mnawakosea sana binti zenu. Kilichotokea hivi karibuni kwa jamaa yangu kina funzo

    Niambie unaweza kutoa posa bila kiongozi wa kanisa kuhusishwa harafu wachungaji au viongozi wa kanisa wakakuelewa, acha masihara ndugu, Kama ni hivo basi mvulana na msichana wangekuwa wanaelewana tu harafu wanaenda kwa mchungaji awafungishe ndoa basi
  11. Kiti Chema

    Wakristo mjitafakari kwenye suala la mahari, mnawakosea sana binti zenu. Kilichotokea hivi karibuni kwa jamaa yangu kina funzo

    Sina maana kuwa nimedharau fani yake ila dharau zilianza kwa walezi wake kudharau kiasi cha pesa nilicho nacho, utamaduni wengi wa wakristo hupanga mahari kubwa kutokana na kiwango cha elimu walicho msomesha binti yao, Hufanya hivyo wakidhani wanaenda kukufaidisha.
  12. Kiti Chema

    Wakristo mjitafakari kwenye suala la mahari, mnawakosea sana binti zenu. Kilichotokea hivi karibuni kwa jamaa yangu kina funzo

    Sio kweli mkuu, mimi ni mkrosto na unapozungumzia mahari kwa sehemu moja au nyingine lazima uongozi wa kanisa uhusike na uthibitishe
  13. Kiti Chema

    Wakristo mjitafakari kwenye suala la mahari, mnawakosea sana binti zenu. Kilichotokea hivi karibuni kwa jamaa yangu kina funzo

    mkuu nikili kwamba ulicho ongea ni ukweli mtupu, mwaka 2017 nilitaka kuoa na nilikuwa na mahusiano na binti fulani hivi ambaye alitoka kijijini alipo fija mjini nikambrashi na mitoko,pamba hata pesa, maana nilikuwa na kijiajira, baada ya kwenda kuuliza mahari kwa tetesi tu bila ya mshenga...
Back
Top Bottom