Recent content by Kiti Chema

  1. Kiti Chema

    JamiiForums Tanzania Jukwaa la wakubwa (JLK):Gharama za ukorofi

    kwani level ya utu uzima inaanzia miaka mingapi,
  2. Kiti Chema

    JamiiForums Tanzania Wanaume, utapata mke anaye reflect jinsi ulivyo

    Maisha hayatabiriki, chochote atakacho kupatia mungu hilo ndilo fungu lako
  3. Kiti Chema

    JamiiForums Tanzania Mke mwema ni tabia!!!

    kweli kabisa
  4. Kiti Chema

    JamiiForums Tanzania Mwanamke unapotaka kuolewa huwa unajuliza unaenda na nini? Yaani unamwongezea nini huyo mwanaume ambacho ni spesho?

    mwanaume atakuwa masikini kivipi, fafanua sisi wenye akili finyu tuelewe
  5. Kiti Chema

    JamiiForums Tanzania Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani

    Naomba kuuliza swali ni kwanini nyumba moja anaweza nunua umeme wa 1000/= akapewa Unit 8 na nyumba ya pili anaweza akanunua umeme wa kiasi hicho hicho cha 1000/= akapewa Unity 2.8 Shida inakuwa ni nini, wakati zote ni mita za matumizi ya nyumbani, Naomba TANESCO mlitazame hilo, mnatengeneza...
  6. Kiti Chema

    JamiiForums Tanzania Tanzania Yasitisha Matumizi ya Dawa ya Kikohozi kwa Watoto

    Naombeni picha hata moja ya mfano wa dawa hiyo maana kuna mtoto anatumia dawa ya kikohoji na tumeinunua juzi tu
  7. Kiti Chema

    JamiiForums Tanzania Fanya hivi usipofanikiwa niite mbwa nimekaa pale

    hapo ndio huw nafeli kiasi cha kukaa na ukata kwa mda mrefu, nashindwa kuicontroll fedha jamaa zangu
  8. Kiti Chema

    JamiiForums Tanzania Mti wa ajabu huku Kigoma umenishangaza sana, jina lake unaitwaje?

    Unaitwa mtingozi
  9. Kiti Chema

    JamiiForums Tanzania Kuna wanawake wajinga ila huyu ni mjinga nambari one

    Kamwe huwezi kutenganisha true love kwa kitu chochote,
  10. Kiti Chema

    JamiiForums Tanzania Mnatumia njia gani kukabiliana na msongo wa mawazo (stress)?

    Thanks broo ingawa nahisi kuloose control but nitajitahidi kusawazisha vinavyonifelisha na kuninyima amani
  11. Kiti Chema

    JamiiForums Tanzania Mnatumia njia gani kukabiliana na msongo wa mawazo (stress)?

    We are same moment tunapitia yaani hata sijui mwaka unaishaje, sioni cha maana katika mwaka huu.
  12. Kiti Chema

    JamiiForums Tanzania Wakati sahihi kuondoa bikra ya binti

    Inamaana alama za ubikra ni ile damu sio, naomba kueleweshwa mkuu
  13. Kiti Chema

    JamiiForums Tanzania Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

    Me naomba niulize tu kwa waliowahi kutoa bikra, hivi ushawahi kula demu ambaye pengineanajinasibu kuwa yeye ni bikra , ila damu hazikutoka unaposex naye kwa mara ya kwanza lakini uchi ukawa umebana,
  14. Kiti Chema

    JamiiForums Tanzania Tambua ukubwa wa processor yako

    Processor haiwezekani kubadirishwa
  15. Kiti Chema

    JamiiForums Tanzania Wakristo mjitafakari kwenye suala la mahari, mnawakosea sana binti zenu. Kilichotokea hivi karibuni kwa jamaa yangu kina funzo

    Niambie unaweza kutoa posa bila kiongozi wa kanisa kuhusishwa harafu wachungaji au viongozi wa kanisa wakakuelewa, acha masihara ndugu, Kama ni hivo basi mvulana na msichana wangekuwa wanaelewana tu harafu wanaenda kwa mchungaji awafungishe ndoa basi
Back
Top Bottom