Naomba kuuliza swali ni kwanini nyumba moja anaweza nunua umeme wa 1000/= akapewa Unit 8 na nyumba ya pili anaweza akanunua umeme wa kiasi hicho hicho cha 1000/= akapewa Unity 2.8 Shida inakuwa ni nini, wakati zote ni mita za matumizi ya nyumbani,
Naomba TANESCO mlitazame hilo, mnatengeneza...
Me naomba niulize tu kwa waliowahi kutoa bikra, hivi ushawahi kula demu ambaye pengineanajinasibu kuwa yeye ni bikra , ila damu hazikutoka unaposex naye kwa mara ya kwanza lakini uchi ukawa umebana,
Niambie unaweza kutoa posa bila kiongozi wa kanisa kuhusishwa harafu wachungaji au viongozi wa kanisa wakakuelewa, acha masihara ndugu,
Kama ni hivo basi mvulana na msichana wangekuwa wanaelewana tu harafu wanaenda kwa mchungaji awafungishe ndoa basi
Sina maana kuwa nimedharau fani yake ila dharau zilianza kwa walezi wake kudharau kiasi cha pesa nilicho nacho, utamaduni wengi wa wakristo hupanga mahari kubwa kutokana na kiwango cha elimu walicho msomesha binti yao,
Hufanya hivyo wakidhani wanaenda kukufaidisha.
mkuu nikili kwamba ulicho ongea ni ukweli mtupu, mwaka 2017 nilitaka kuoa na nilikuwa na mahusiano na binti fulani hivi ambaye alitoka kijijini alipo fija mjini nikambrashi na mitoko,pamba hata pesa, maana nilikuwa na kijiajira, baada ya kwenda kuuliza mahari kwa tetesi tu bila ya mshenga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.