Wakazi wa bangata wamelala masikini wameamka tajiri...mamvi amemwaga mafuso ya mbuzi wa maziwa kwa wakazi wa bangata usa river kwa malipo ya kupigia mgombea wa udiwani ccm,ivi mamvi ukikosa uraisi utaenda wapi.....vp naigeria huendi,prophet tb joshua alijua ulikuwa unataka kumtumia..akakupiga chini
Ccm wamekuwa wazurri sana na kucheza na matukio,ni lazima mtengeneze think tank ya chama,kazi yao iwe kufikiri tu,yafuatayo ni baathi ya matukio ambayo ccm wamecheza nayo ili kutuondoa kwenye mada:-
1.wakati wa vuguvugu la katiba serekali ya ccm ilikuwa ipoteze uhalali wa kuongoza nnchi ndipo...
Habari zilizopo ndani ya CCM Arusha zinadai kuwa muda si mrefu CCM ikiongozwa na mwenyekiti wao watatumia mwanya wa kufanya sherehe kwa mji wa Arusha kuwa jiji na kukabiziwa barabara kama njia ya kuwavutia wenyeji wa Arusha.
Inasemekana kuwa siku hiyo kutachinjwa ng'ombe wa kutosha mnajua...
Mimi siamin hiyo oic ikiingia tutabaki salama sisi kama watanzania..je ile issue ya akia ponda nn kingetokea kama wangekuwepo na maazimio yao hapo..kama dini zinatusababisha tugombane/tuuwane.tupa kule tanzania isonge mbele
hutaki huo ndo ukwel kafanye tafit...kinachofanya hao wanafunz washindwe sio uislum wao.ila wanakosa exposure kwa watu wanaowazunguka mfano hapa nilipopangisha kuna dada wa kiislum anamtoto mkubwa tu,badala kumpeleka mtoto kwenye shule za awali yeye ni kumnuulia kanzu na kumpeleka madrasa,,je...
Asante kwa mada ndugu yangu mtoi,kiukweli ndugu zetu waislam wana kila sababu ya kukaa chini na kufikir upya juu ya mstakabali wa dini yao
mimi ni mwalimu wa shule hiz za sekondari za kata,ukitafuta wanafunzi wanaofanya vizuri kuanzia form one hadi form four ni wakristo.hakuna upendeleo hili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.