Viongozi wasitaafu kueni na tabia na busara kama za mzee Ally Hassan Mwinyi,huwezi kumkuta anatoa matamko au maneno yanayowakwaza watu wengine.Lakini Mkapa amekuwa na tabia ya kutoa matamko ya kukwaza tangu alipokuwa madarakani hata sasa.Watu wamemvumilia wamechoka,na hasirudie tena.
Kaulimbiu hii ni ya kipumbavu sana.Mtu mwenye akili hawezi kuisifia na kuishangilia wakati nchi hiko katika wakati mgumu wa kutokuwa na adhina .Ofisi hazina pesa za kujiendesha,kama mafuta ya magari,malipo kwa watumishi hata mishahala hawajapata.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.