Mpaka raha,alafu anaendelea kudunda mtaani,alafu bado wanakataa hawahusiki na EPA,wanachemka hawa!.Wakuu hawa Majaji waliosikiliza kesi hii wana walakini. Kama huyu Mujuluzi amechambuliwa vizuri katika ripoti ya Tundundu Lissu.
JAJI ALOYSIUS MUJULIZI
Jaji Aloysius Mujulizi alikuwa miongoni mwa watu ishiriniwalioteuliwa Majaji wa Mahakama Kuu mwezi Februari, 2006. Kabla ya uteuzi wake,Jaji Mujulizi alikuwa wakili wa kujitegemea katika kampuni ya mawakili yaIshengoma, Masha, Magai & Mujulizi Advocates (IMMMA) ya Dar es Salaam.Kampuni hii ya mawakili ndiyo iliyoshiriki katika kuanzishwa kwa kampuniiitwayo Deep Green Finance Co. Ltd. mnamo tarehe 18 Machi 2004. IMMMA Advocatesvile vile walikuwa mawakili wa Tangold Ltd.
Makampuni haya mawili yanatuhumiwa kutumika kupitishiamabilioni ya fedha zilizoibiwa Benki Kuu ya Tanzania kati ya mwaka 2005 na2006. Kwa mfano, katika kipindi kifupi cha miezi minne kati ya Agosti 1 naDesemba 10, 2005 kampuni ya Deep Green Finance ilipokea jumla ya shilingi10,484,005,815.39 kutoka akaunti ya kulipia madeni ya nje (EPA) iliyokuwa BenkiKuu ya Tanzania. Katika kipindi hicho hicho, kampuni ya Tangold Ltd. ililipwadola za Marekani 13,736,628.73 kutoka kwenye akaunti hiyo ya EPA. Nyarakazilizowasilishwa BRELA na mawakili wa IMMMA Advocates na kusainiwa na Gavana waBenki Kuu wa wakati huo Daudi Ballali tarehe 20 Mei 2005 zinaonyesha kwambaTangold Limited ilikuwa kampuni ya kigeni kutoka Jamhuri ya Mauritius. Hayayote yalitokea wakati Jaji Mujulizi akiwa wakili mwenza wa IMMMA Advocates.
Lema appears to be of more help to his party now working as a non-MP partyman than when he was serving as an MP. In just a few months he's been out the Parliament, for instance, he's managed to raise funds and win new members for his party from places as far as UK and US--and that he certainly couldn't have achieved had he still been an MP. Additionally, nobody will deny the fact his current across-the-country campaign to promote his party's policies and undermine those of CCM has really proved to be so damaging to the goverment well being that JK is said to be contemplating giving him back his post. Instead of him keeping alive the unrealistic dream of winning his appeal against the verdict that blocked him from the assembly, I propose he focus on the task arguably imperative and profitable he is currently embarking on of strengthening the party health at the grassroots level and setting the public against the CCM rulers.