Arusha ni ukanfa wa gaza. Kitachofuata siku za mbele huenda ni kuhakikisha kuwa rangi ya kijani haionekani popote.
Sipati picha
kwa maana hiyo benk haina ulinzi na hapo ni Arusha!
Kweli mkuu manake ukiamua kutumia SMG kujilinda madhara yangekuwa makubwa. Heri nusu shari kuliko shari kamili. Nadhani wamekimbia kujiokoa na kuokoa maisha ya wengine.Sidhani kama ni uoga Mungi. Si rahisi kuwa na SMG halafu ukawa muoga. Nadhani utakuwa ni mpango mkakati kwa kuepusha shari, na hii taarifa mimi binafsi naipokea vizuri. Kuna busara imeamriwa hapo polisi Arusha. Polisi mmefanya busara sana leo Arusha. Big up! Si kila kukimbia ni cowardice. Kukimbia kwingine ni wisdom.
Wewe unashangaa ppolisi wawili kukimbia wakati kuna 109 ilikuwa imejaza polisi walikimbia na wana silaha zao...
kwa maana hiyo benk haina ulinzi na hapo ni Arusha!
Polisi hao bila shaka hawana elimu ya Uraia.Inakuwaje polisi kumkimbia raia pasipo kosa?Iwapo vijana wa CDM walikuwa wanania ya kutaka kuwavamia Polisi hao tena eneo la Benki hapa binafsi siungi mkono kwa vijana hawa.
ccm mambo yenu mnayoyafanya mnasababisha chuki kati ya polisi na raia,fanyeni mambo yenu kwa busara ya hali ya juu