nawe vipi?unauliza NYETI za kuku kwenye upepo? tunataka na tutainyofoa ccm madarakani kwa sababu wameonyesha kushindwa totaly,miaka hamsini na nne hakuna kitu kabisaaa! yaani hata madawati mashuleni wameshindwa! haibu! alafu mgombea wao kila kitu anashangaa kwa nini serikali imeshindwa,pia naye...
ukweli ni kwamba hakuna mwana Chadema hata mmoja kati ya hao uliowaona Mwanza wakichoma kadi za CDM,ni vjana walioandaliwa na CCM kama walivyofanya Dar es salaam.
kwa kifupi mimi nipo airport muda huu,ninachoweza kuwajuza ni kuwa hii serikali ya ccm inatakiwa isurubiwe kwenye sanduku la kura hapo october 25,maana nguvu inayotumika hapa kutawanya watu si ya kawaida!pia najiuliza hii bajeti ya mabomu,magari,mafuta na nguvu kazi imetoka wapi?na hali...
Wana jf,leo hali ya mwitikio wa watu ktk viwanja vya Mbugani P/School,ni dalili tosha kuwa wapinzani wa Wenje ktk jimbo la Nyamagana wasijisumbue kifanya kampeni wakitegemea kuwa wataweza kupambana na huyu jamaa! Wenje anatosha kabisa kuendelea kuliongoza jimbo hili kwani ameweza kutoa...
labda awe RAIS wa nyumbani kwenu lakini si JMT.Pia niwajulishe wana jamvi kuwa leo nimepata "KISU" kadi ya mpiga kura ili October nikatekate mbogamboga (ccm)maana nimezichoka sanaaa! mimi naamini kuwa kumpata mgombea safi ndani ya ccm,ni sawa na kumtafuta mwanamke BIKIRA ndani ya wodi ya wazazi...
act mna habari gani ya kuonyeshwa na chombo THE SUPERBRAND ITV? ninyi mlikubali kutumwa na ccm ili mkapambane na WAPINZANI, sasa habari zenu si mkapeleke TBCCM?
Dotto C. Rangimoto
katazame tbc yenu! laana ya USALTI itawatafuna taratibu,kaaa kulialia na itv,mwisho wenu ni baada ya ELECTION october hakutakuwa na AGIZO LA CHAMA TAWALA (ACT) tena katika ardhi hii ya TANGANYIKA!
tupo pamoja mkuu,hata wale wa upinzani ambao wamebaki bila kupigwa BAN inabidi na wao wakomae hiyo miswada ya KISHENZI ya dharula isijadiliwe na wasitoke nje ya bunge wakomae humo humo mjengoni!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.