gimmy's
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 3,340
- 3,394
- Thread starter
- #41
EL kwakushiriki nyadhifa mbalimbali ndani ya CCM ikiwemo na uwaziri mkuu ambao ndio serikali yenyewe atakua ameshiriki kunitapeli kwa zaidi ya miaka 50 kama usemavyo ambaye leo ndio mgombea wako wa uraisi,nafikiri tutakua tunahamisha utapeli uleule kutoka CCM kwenda UKAWA uendelee kututapeli, na wewe sijui hushtuki kwa hilo?Tumetapeliwa zaidi ya miaka 50 na bado hashtuki. Mtu mwingine anazoelea kunyanyaswa hadi anaufanya kuwa sehemu ya utaratibu wake wa kawaida wa maisha. HII NI ROHO kabisa. Roho ya ulimbukeni. Nendeni kwa viongozi wa dini mkaombewe. Hii sio kawaida, kuishabikia ccm karne hii lazima ujitoe ufahamu.