Kamati Kuu CHADEMA kukutana leo

Kamati Kuu CHADEMA kukutana leo

Kicoba cha mzee Mtei kinakaa kujadili madeni na marejesho.

Mtahangaika sana kuzuia mabadiliko lakini hamtaweza kwa sababu wakati ukifika umefika na wakati ndio huu!
 
Hivi mtatoa tamko gani jipya zaidi ya lile lililotolewa na mwenye saccos .Mbowe?!
 
Mkuu sikuzote mtu mjinga asiyejitambua hujadiri ukabila na udini bila kujadiri uwezo wa mtu,huyo nae usishangae ukisikia kwamba amewahi kuhudhuria chuo mana siamini kama kuna msomi mpuuzi hivyo anayehoji upuuzi na kiukweli umemjibu sahihi.Mie nimzaliwa wa Kigoma na kiukweli Chama chetu cha Kigoma kimejaa sura hizo mbili

nmeidharau hoja yako kwa kupinga ukanda alaf bado unamsifia amejenga hoja kwa msingi wa ukanda. hujitambui na sidhan km mkoa wa kigoma unawatu km wewe wasio na uwezo wa kujenga hoja.... kg inafahamika kwa kutoa vichwa (great thinkers)
 
Tuwekee majina ya wajumbe wa Kamati Kuu tuwajue,,isije ikawa wote wanatoka Kilimanjaro

utakufa na dhana ya UKABILA,hiyo ngonjera yenu ya chadema chama cha WACHAGA mlishafail siku nyingi lakini hamstuki! MBURULA nyieeeee!
 
Nafurahishwa sana na mtindo huu wa Action ASAP kwa kila jambo linalojitokeza. Hiki ndio chama cha siasa, sio wale jamaa hata magonjwa kama rushwa wao wanasubiri mpaka yanakuwa sugu kiasi kuwa yanakosa tiba na wao ni kukata mauno tuu majukwaani wakiimba hiena hiena!
Hata majirani wanatucheka tunavyo endeshewa nchi
 
Mkuu sikuzote mtu mjinga asiyejitambua hujadiri ukabila na udini bila kujadiri uwezo wa mtu,huyo nae usishangae ukisikia kwamba amewahi kuhudhuria chuo mana siamini kama kuna msomi mpuuzi hivyo anayehoji upuuzi na kiukweli umemjibu sahihi.Mie nimzaliwa wa Kigoma na kiukweli Chama chetu cha Kigoma kimejaa sura hizo mbili

shikamoo .....zzk ameifanya kigoma niya waislam na waha akasahau wamanyema na wakristo
 
Natamani kuona mambo mapya na yenye afya kwa taifa letu. Nimatumaini yangu mtakuja na kitu kizuri tofauti kabisa ili umma usikie na sauti ya kishindo ikatamalaki pande zote za Tanzania na dunia kwa ujumla.
 
Hivi mtatoa tamko gani jipya zaidi ya lile lililotolewa na mwenye saccos .Mbowe?!

Watu wengi wameacha kufanya comments kwenye issue zako! Na hiyo ni dalili ya kuonyesha wewe ulivyo. Kutumikia si dhambi ila inakuwa dhambi unapotumika VIBAYA kama wewe ulivyo!
 
Ajenda ni kujadili maendeleo mkoa wa Kilimanjaro

Uakabila hauna nafasi ndani ya hii nchi muulize na huyo ambae si wa huko unakokuota mchana vipi kigoma imekuwa Dubai watu wa hovyo sana mnaoleta mambo ya ukabila na udini mnatia kinyaa.
 
Tumia akili ya kiutu uzima jenga hoja Ki siasa acha kuingilia mambo ya kidini kwani waisilam wamehusika vipi katika hoja yako acha upuuzi mkuu

Na wewe acha uzandiki kwani uongo ile mahakama ya kadhi ipo wapilioahidiwa na viongozi wa ccm hichi ndicho chimbuko la udini na ukabila najitenga na unafiki.
 
Mkuu sikuzote mtu mjinga asiyejitambua hujadiri ukabila na udini bila kujadiri uwezo wa mtu,huyo nae usishangae ukisikia kwamba amewahi kuhudhuria chuo mana siamini kama kuna msomi mpuuzi hivyo anayehoji upuuzi na kiukweli umemjibu sahihi.Mie nimzaliwa wa Kigoma na kiukweli Chama chetu cha Kigoma kimejaa sura hizo mbili

Acha kujivika ukigoma wakati ww siyo Mkigoma kwa sababu Kigoma hakunaga element za ukabila wala udin kwan ingekuwa hivyo tusingeweza kuishi na wakimbiz raia wa Burundi pamoja na wengne ambao huingia kutafta kaz za vibarua lkn kamwe hawabaguliwi. Nakushangaa we mjinga unayetaka kuhararisha uongo wako kwa watu ili utimize manufaa yako
 
Na wewe acha uzandiki kwani uongo ile mahakama ya kadhi ipo wapilioahidiwa na viongozi wa ccm hichi ndicho chimbuko la udini na ukabila najitenga na unafiki.

Mpaka sasa sijakuelewa kuwa wewe ni kuku au ni bata tembea yako haona muelekeo kamili
 
Back
Top Bottom