Wewe unazani kiongozi mkubwa km mbowe anaweza kuwekwa ndani kwa kipindi chote hicho na police bila Maelekezo kutoka juu Tena juu kabisa kwenye Taasisi Ya Rais.. Never ever.. Hawa wanapokea Maelekezo Tu
Ww ndo unatumia makalio kufikiri, magerexa cyo airport au kweny harusi mnaenda kundi et kumpokea, kila sehem na taratibu zake, fanya uchnguzi sehem za magerexa na mahakama cyo za kwenda na mihemko , mbn wao ulipoenda kupokelewa hayakutokea hayo, hasira za kike bhana yaani wao walienda na zile...
Malipo ni hapa hapa Duniani, Dr. Mwaka ulimzingua xanA kipindi kile, mbaba wa watu nae alikuwa anajitafutia na kusaidia watu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo Vita cyo ya kuombea itokee, yaani itaasili duniani kote na hasa huku kwetu Africa... Nyasi ndo huumia na nyasi ndo cc Africa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mm naumiza kichwa xana Leo na kazi kesho kazi inaisha c unajua kazi za watu binafsi mguu nje ndani, sasa akianza private tena aje arudi government ck mambo yameenda mrama
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha nimecheka xana kwa comment za hii mada.. Kuna moja et anashinda saloon, badae gym kutafuta sixpakars za kutafutia majimama [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani kiukweli nakuunga mkono asiliamia 99%, half mbn yeye huwa hafungwi wala kuandamwa xana na serikali!? Au kweli ni mamluki wa serikali km chadema walivyosema au ajili ya uchawi wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani wapinzani wa tz, ni sawa na ww kwenda kwa mwanamke WA Mwenzio na kumpondea mwanaume mwenzio ili ww umpate Mwanamke, badala ya kumwaga sera zako za kumkonvic yule Mwanamke awe wako... Wapinzani Njoo na sera za kuinua Taifa letu mtachukua inchi kiulain, cyo kila ck kusema ya ccm tu mnapoteza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.