Mimi mtoto wa mdogo wangu ni Mwl. Temeke anamsomesha mtoto wake English Medium Mkombozi,kwa hiyo wewe na mawazo yako duni endelea kufikiri hivyo hivyo kuwa walimu hawaweziwalimu gani wanapeleka watoto eng medium,au unazungumzia wabunge??waalimu hawa hawa wa mishahara yenye makato ya bodi ya mikopo??
Ada Mil. 1 mpaka 1.5 mwalimu mwenye nia hawezi shindwa mtuzungumzie waalimu katika uhalisia wao,sio hao waalimu maalumu wachache,watoe hatima ya wengi.
kwamba waalimi siku hizi wanasomesha watoto wao eng medium.
Ndaliwize mwenyewe leo kambwela mbwela [emoji23][emoji23][emoji23] alikuwa anam-mind mchina kwa kingredha ametoa maboko balaaaa bablai! Video ipo inazunguka WhatsApp humoTatizo sio shule mwanafunzi anayosoma, tatizo ni kumuandaa mtoto katika elimu yake ya msingi kwa kumfundisha kwa kutumia Kiswahili miaka zaidi ya 7 kisha baada ya hapo unambadilishia gear angani aanze kujifunza kwa kwa lunga ya Kiingereza kwa miaka 4 hadi 6 alafu ufaulu ukiwa duni watoto wanaitwa vilaza.
Kwani kinashindikana nini mitaala yote ya elimu yetu ikawa ya Kiswahili tuu level zote za elimu? Au ikawa ya Kiingereza tu level zote?
Tuchague moja kisha tupime ufaulu.
Mtag Ndaliwize.
Mimi kwa kufikiri kwangu ninaona sio lazima mwanafunzi apite English medium schools ndio academic performance yake iwe vizuri secondary.
Nilikuwa najaribu kuwaza hili maana nimeona mzazi anampeleka mtoto English Medium alafu huko baadae anamrudisha primary ya serikali kwa kukwama ada.
Mimi sioni kama kuna uhusiano mkubwa sana kwa elimu ya primary na secondary. Au English medium na secondary, hata kama upo ni mdogo sana.
Mbona secondary tulisoma na waliopita government kuanzia chekechea na walitandika A kote hadi English yenyewe A.
Ninaona kama una muda mzuri wa kusimamia elimu ya mwanao baada ya kutoka shuleni. Mfano ajisomee muda mwingi jioni na weekend baada ya shule na umpatie vitabu vya kutosha inaweza kumsaidia.
Nimeona wazazi wengi wanaona jirani kapeleka English medium naye anapeleka baada ya mwaka anarudisha government mtoto anabaki akishangaa.
Pia nimejaribu kutazama Walimu wa English medium sio kuwa wana elimu kubwa sana au uwezo mkubwa wa kufundisha hapana, ila ni ule uwezo wa kuwa karibu na watoto kwa kuwa ni wachache.
Hiyo wazazi acheni kuyumbisha vijana wenu leo huku kesho kule.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha bado sijakutana nayo lakini najua nitaiona tu. Hii wizara yetu ya elimu sijui wanaoiongoza huwa hawana plan B.Ndaliwize mwenyewe leo kambwela mbwela [emoji23][emoji23][emoji23] alikuwa anam-mind mchina kwa kingredha ametoa maboko balaaaa bablai! Video ipo inazunguka WhatsApp humo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio lazima. Hakuna sheria inayoelekeza ni lazima watoto wasome English medium.Mimi kwa kufikiri kwangu ninaona sio lazima mwanafunzi apite English medium schools ndio academic performance yake iwe vizuri secondary.
Nilikuwa najaribu kuwaza hili maana nimeona mzazi anampeleka mtoto English Medium alafu huko baadae anamrudisha primary ya serikali kwa kukwama ada.
Mimi sioni kama kuna uhusiano mkubwa sana kwa elimu ya primary na secondary. Au English medium na secondary, hata kama upo ni mdogo sana.
Mbona secondary tulisoma na waliopita government kuanzia chekechea na walitandika A kote hadi English yenyewe A.
Ninaona kama una muda mzuri wa kusimamia elimu ya mwanao baada ya kutoka shuleni. Mfano ajisomee muda mwingi jioni na weekend baada ya shule na umpatie vitabu vya kutosha inaweza kumsaidia.
Nimeona wazazi wengi wanaona jirani kapeleka English medium naye anapeleka baada ya mwaka anarudisha government mtoto anabaki akishangaa.
Pia nimejaribu kutazama Walimu wa English medium sio kuwa wana elimu kubwa sana au uwezo mkubwa wa kufundisha hapana, ila ni ule uwezo wa kuwa karibu na watoto kwa kuwa ni wachache.
Hiyo wazazi acheni kuyumbisha vijana wenu leo huku kesho kule.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hivyo kama angekuwa na uwezo wa kulipa ada za hizo shule angewapeleka huko English Medium za private?Weee unaakili Sana mwalimu anawatoto wanne kwa mfano hio ada atatoa wapi labda Kama ameekeza na sijui aliekeza lini
Sent using Jamii Forums mobile app
Duhh!!?, Sipati picha mfano wazazi/walezi wako wakisoma hii komenti yako watakuwa katika hali gani!.MIMI ENGLISH MEDIUM HAIJANISAIDIA CHOCHOTE ZAIDI YA KURAHISISHA UPIGAJI TONGOZO KWA WATOTO WA VYUO!!!
Sent using Jamii Forums mobile app