Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,312
- 10,492
Zitto ni kama fisi, Simba anaposhiba mzoga wa mnyama ndipo fisi nao wanatokeza kufaidi mabaki ya mzoga ulioachwa.
Zitto utamkuta akijishikiza Kwa watu wenye matatizo kama mfariji. Ukifungwa jela/mahabusu na ukiwa popular tegemea kutembelewa na Zitto na akitoka kukuona mitandao itajaa picha zako!
Mifano ni mingi kama Kwa Tundu Lissu, Abdul Nondo, Viongozi wa CDM, Kabendera, dogo wa kituo cha sheria na haki, Akina Maarim na fallen CUF in Zanzibar n.k kifupi ZZK ni rafiki mzuri ukiwa na misala ila ndo anajijenga ujue! Anakugeuza fursa!
Usitegemee Zitto akikamatwa atakaa mahabusu muda mrefu, thubutuu! Hata aiseme hovyo serikali namna gani, atatishiwa nyau tu then anaachiwa aendelee Kula bata!
Cha ajabu, Yuko bize Dar ila Jimbo lake na Mkoa Kwa ujumla una-umasikini uliotopea!miundo mbinu yake ni aibu ya Karne!
Kweli kufa kufaana!
Kunguru mjanja huishi miaka mingi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Zitto utamkuta akijishikiza Kwa watu wenye matatizo kama mfariji. Ukifungwa jela/mahabusu na ukiwa popular tegemea kutembelewa na Zitto na akitoka kukuona mitandao itajaa picha zako!
Mifano ni mingi kama Kwa Tundu Lissu, Abdul Nondo, Viongozi wa CDM, Kabendera, dogo wa kituo cha sheria na haki, Akina Maarim na fallen CUF in Zanzibar n.k kifupi ZZK ni rafiki mzuri ukiwa na misala ila ndo anajijenga ujue! Anakugeuza fursa!
Usitegemee Zitto akikamatwa atakaa mahabusu muda mrefu, thubutuu! Hata aiseme hovyo serikali namna gani, atatishiwa nyau tu then anaachiwa aendelee Kula bata!
Cha ajabu, Yuko bize Dar ila Jimbo lake na Mkoa Kwa ujumla una-umasikini uliotopea!miundo mbinu yake ni aibu ya Karne!
Kweli kufa kufaana!
Kunguru mjanja huishi miaka mingi!
Sent using Jamii Forums mobile app