Robidinyo
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 3,734
- 7,672
Mkwanja anaovuta Samatta kwa Wiki Domo anausotea Miezi 4-5, Huyu ndo inapaswa ajengewe Sanamu kwa kulitangaza Nchi Kimataifa na kuiongeze nchi kipato kwenye Sekta ya Utalii
Eti Diamond ajengewe Sanamu kwa lipi haswa aliolifanya? Labda akajengewe huko Kwao kigoma..
90% ya Vishabiki vya WCB ni Vi slay queen na Visharobaro uchwara,.
Eti Diamond ajengewe Sanamu kwa lipi haswa aliolifanya? Labda akajengewe huko Kwao kigoma..
90% ya Vishabiki vya WCB ni Vi slay queen na Visharobaro uchwara,.