Zijue faida za Mmea wa Mlonge, Jitibu magonjwa 300 kwa kutumia mlonge

Ata mwenye matatizo ya ngozi,nywele,uso mlonge anafanya kazi vizuri tuu
 
MATUMIZI YA MLONGE.
yafuatayo ni matumizi na jinsi ya kuandaa mlonge.

1. kama unataka unga utokanao na majani ya mlonge fanya yafuatayo...
Chukua majani Kisha uyaanike kivulini ikiwa ndani itapendeza zaidi au yaanikwe kwenye jua la saa 2-4 asubuhi mpk yatakapokuka.

Baada ya kukauka unaweza kutwanga au kusaga ili mradi upate unga wake
MATUMIZI
changanya unga wa mlonge kwenye chai au maji ya uvuguvugu kwe ujazo wa kikombe cha chai kisha unywe Fanya hivyo mara 2 au 3 kwa siku kila kwa wiki au zaidi.

2. Mbegu za mlonge : hapa unatakiwa utafune mbegu za mlonge 3x3 yani asubuhi 3 mchana na usiku kila siku kwa siku 3.
Au unaweza kutwanga mbegu za mlonge ili upate Unga.
Nb: kama utapenda unga tumia kijiko cha chai kwenye maji ya uvuguvugu au chai kwa wiki 3
ONYO: Ukizidisha kipimo cha unga unaweza kupata maumivu ya kichwa na kuhisi kizunguzungu.


3. Kwa matumizi ya Mizizi na magome ya mlonge. .... Hapa unatakiwa kuchimba mizizi au kutoa magome kisha osha kwa maji safi Baada ya hapo weka kwenye sufuria na kipimo cha maji unayotaka ww kisha chemsha.
Baada kuchemka weka kwenye kikombe cha chai kisha kunywa asubuhi na usiku ndani kwa siku 3.
ONYO: mizizi ya mlonge ina nguvu sana kwenye upande wa nguvu za kiume coz ukizidisha unaweza kuua misuli ya uume, hii unaweza kupiga Show hata kwa lisaa na usitoe mazungu mpk ukaone kero
.............................................
Kuna mzee niliwahi kumuona anapika majani ya mlonge kama mboga za majani anaweka karanga baada ya kuuliza akasema inatibu Presha.

kwa ufupi Mlonge unatibu magonjwa mengi usishangae ukaambiwa unatibu mpaka NGOMA.

Kama kuna nimetumia lugha mbaya/ nimekosea sehemu yoyote mnisamehe sana.

Kwa wanaohitaji Mlonge mje inbobo.
 
C&P


1. HUko Afrika magharibi madaktari hutumia mlonge kutibu kisukari.
2. HUko India mlonge hutumika kutibu shinikizo la juu la damu
3. HUtibu matatizo u maumivu ya mishipa
4. Hutuliza mapigo ya juu ya moyo
5. Hutibu kansa
6. Pumu
7. Hutuliza wasiwasi
8. Kikohozi
9. Maumivu ya kichwa
10. Inazuia na kushusha ile lehemu hata ile ya juu zaidi
11. Inapunguza mafuta tumboni
12. Inaweza sawa homoni
13. Inatibu maumivu wakati wa hedhi
14. Unasafisha ini
15. Inasafisha mkojo na kibofu cha mkojo
16. Inarekebisha matatizo kwenye tezi
17. Unatibu kipindupindu na kuharisha
18. Kifua kikuu
19. Kichwa kizito
20. Uchovu
21. Mzio
22. Vidonda vya tumbo
23. Maambukizi kwenye ngozi
24. Maumivu mbalimbali mwilini
25. Huondoa madoa doa meusi kwenye ngozi
26. Husafisha damu
27. Hutibu matatizo kwenye koo
28. Huondoa makohozi mazito kooni
29. Huondoa taka na msongamano kifuani
30. Hutibu kipindipindu
31. Huondoa moto wa jicho au uvimbe kwenye jicho
32. Hutibu maambukizi kwenye macho na kwenye masikio
33. Unatibu homa
34. Maumivu kwenye maungio
35. Huondoa chunusi
36. Hutibu matatizo karibu yote ya ngozi na kinga ya mwili
37. Matatizo kwenye mfumo wa upumuaji
38. Inatibu kiseyeye
39. Huongeza uwingi wa mbegu za kiume na nguvu kwa ujumla
40. Inatibu minyoo
41. Huongeza maziwa kwa wingi kwa mama anayenyonyesha
42. Huondoa uvimbe kwenye utumbo mpana
43. Inatibu ugonjwa wa kuvimba mwili
44. Inatibu kuhara damu
45. Inatibu kisonono
46. Unatibu tatizo la kukosa usingizi
47. Unatibu homa ya manjano
48. Unatibu malaria
49. Unatibu U.T.I na matatizo mengine kwenye mfumo wa mkojo
50. Unasaidia pia kujenga na kuimarisha misuli
51. Unatibu magonjwa ya mifupa
Mlonge uansafisha mwili wako wote, unasafisha ini, figo, moyo, macho, unaimarisha meno, ngozi na nywele. Wakati unatumia mlonge unakufanya ujisikie vizuri, ujisikie mpya na mwenye nguvu. Watu wengi wanaotumia mlonge huwa ni wenye afya nzuri hata kwa muonekano tu hata wanapokuwa na umri mkubwa zaidi ya miaka 90.
Majani ya mti wa mlonge pia yanaweza kutumika kutengeneza biogas. Hutumika pia kama chakala cha wanyama kama sungura , mbuzi, ng’mbe. Mbwa n.k. Sungura wanaonekana kupenda zaidi mlonge kuliko wanyama wote
 
C&P


Mlonge una:
Kalsiumu mara 17 zaidi ya ile ya maziwa ya ng’ombe
Potasiamu mara 15 zaidi ya ile ya kwenye ndizi
Una vitamini A mara 10 zaidi ya ile ya kwenye karoti
Una protini nyingi mara 9 zaidi ya ile ya kwenye mtindi
Una klorpfiti (kemikali ya rangi ya kijani ipatikanayo katika mimea) mara 4 zaidi ya ile ya kwenye nyasi au majani ya ngano (wheatgrass)
Una madini chuma mara 25 zaidi ya yale ya kwenye Spinach
Una vitamini A mpaka Z
Una omega 3, 6 na 9
Una asidi amino zile muhimu zinazohitajika na mwili
Una kiasi cha kutosha cha madini ya zinc ambayo ni madini muhimu katika kuongeza homoni za kiume na nguvu za kiume kwa ujumla
 
kuna mzee mmoja alinisimulia kuwa mwaka 1994 alishikwa na ugonjwa akiwa Mgodini Msumbiji alikuwa hawezi kuinama wala kuchuchumaa akiwa huko nchi za nje alipewa dawa za kila aina lakini hazikufua dafu hali ikazidi kuwa mbaya ikabidi wamrudishe Tanzania akiwa hoi, alipofika kwao ikabidi achemshiwe miziz ya mlonge baada ya wiki 1 akaanza kuinama n.k.

kuanzia siku hiyo mzee anaupenda sana Mlonge aliniambia kuwa nyumbani kwake amepanda miti mingi ya Mlonge.
......................................................................

baada ya mimi kujionea maajabu ya mlonge sikuamini ikabidi niwasimulie washkaji zangu wakasema hii kitu haiwezekani nikawapa mlonge wakaenda kutest mitambo aiseee baada ya siku kadhaa napigiwa simu kuwa nilitaka kuwagombanisha na mademu zao et walipiga show lakini wazungu hawatoki (hapa kila mmoja alinipa mrejesho wa wakati wake)
...................................................................
kuna rafiki yangu alikuwa na Typhoid sugu baada ya kutumia mlonge sasa anapeta na maji hata yasio chemshwa.
.................................................................

Wakuu huu mmea ni neema ukiwa kwa wale wakina Sigwa, Dr Mwaka n.k wanatumia sana huu mmea coz unatibu magonjwa mengi mpk kwa wale wazee wa CD4 Inaongeza.

kama kutakuwa na makosa ya kiuandishi mnisamehee..

KUPANGA NI KUCHAGUA

unaweza kuomba msaada/ kuuliza swali n.k
Nielekeze mizizi jinsi ya kutumia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu huo mlonge kipi sahihi au ipi dawa nzuri ni miziz yake shina lake majani yake au matunda yake tuambie na bei plz
 
C&P


1. HUko Afrika magharibi madaktari hutumia mlonge kutibu kisukari.
2. HUko India mlonge hutumika kutibu shinikizo la juu la damu
3. HUtibu matatizo u maumivu ya mishipa
4. Hutuliza mapigo ya juu ya moyo
5. Hutibu kansa
6. Pumu
7. Hutuliza wasiwasi
8. Kikohozi
9. Maumivu ya kichwa
10. Inazuia na kushusha ile lehemu hata ile ya juu zaidi
11. Inapunguza mafuta tumboni
12. Inaweza sawa homoni
13. Inatibu maumivu wakati wa hedhi
14. Unasafisha ini
15. Inasafisha mkojo na kibofu cha mkojo
16. Inarekebisha matatizo kwenye tezi
17. Unatibu kipindupindu na kuharisha
18. Kifua kikuu
19. Kichwa kizito
20. Uchovu
21. Mzio
22. Vidonda vya tumbo
23. Maambukizi kwenye ngozi
24. Maumivu mbalimbali mwilini
25. Huondoa madoa doa meusi kwenye ngozi
26. Husafisha damu
27. Hutibu matatizo kwenye koo
28. Huondoa makohozi mazito kooni
29. Huondoa taka na msongamano kifuani
30. Hutibu kipindipindu
31. Huondoa moto wa jicho au uvimbe kwenye jicho
32. Hutibu maambukizi kwenye macho na kwenye masikio
33. Unatibu homa
34. Maumivu kwenye maungio
35. Huondoa chunusi
36. Hutibu matatizo karibu yote ya ngozi na kinga ya mwili
37. Matatizo kwenye mfumo wa upumuaji
38. Inatibu kiseyeye
39. Huongeza uwingi wa mbegu za kiume na nguvu kwa ujumla
40. Inatibu minyoo
41. Huongeza maziwa kwa wingi kwa mama anayenyonyesha
42. Huondoa uvimbe kwenye utumbo mpana
43. Inatibu ugonjwa wa kuvimba mwili
44. Inatibu kuhara damu
45. Inatibu kisonono
46. Unatibu tatizo la kukosa usingizi
47. Unatibu homa ya manjano
48. Unatibu malaria
49. Unatibu U.T.I na matatizo mengine kwenye mfumo wa mkojo
50. Unasaidia pia kujenga na kuimarisha misuli
51. Unatibu magonjwa ya mifupa
Mlonge uansafisha mwili wako wote, unasafisha ini, figo, moyo, macho, unaimarisha meno, ngozi na nywele. Wakati unatumia mlonge unakufanya ujisikie vizuri, ujisikie mpya na mwenye nguvu. Watu wengi wanaotumia mlonge huwa ni wenye afya nzuri hata kwa muonekano tu hata wanapokuwa na umri mkubwa zaidi ya miaka 90.
Majani ya mti wa mlonge pia yanaweza kutumika kutengeneza biogas. Hutumika pia kama chakala cha wanyama kama sungura , mbuzi, ng’mbe. Mbwa n.k. Sungura wanaonekana kupenda zaidi mlonge kuliko wanyama wote
Copy&paste
 
Afu wewe una tabia mbaya mimi na tangaza biashara na wewe unakuja humu humu,kafungue uzi wako utangaze
C&P


1. HUko Afrika magharibi madaktari hutumia mlonge kutibu kisukari.
2. HUko India mlonge hutumika kutibu shinikizo la juu la damu
3. HUtibu matatizo u maumivu ya mishipa
4. Hutuliza mapigo ya juu ya moyo
5. Hutibu kansa
6. Pumu
7. Hutuliza wasiwasi
8. Kikohozi
9. Maumivu ya kichwa
10. Inazuia na kushusha ile lehemu hata ile ya juu zaidi
11. Inapunguza mafuta tumboni
12. Inaweza sawa homoni
13. Inatibu maumivu wakati wa hedhi
14. Unasafisha ini
15. Inasafisha mkojo na kibofu cha mkojo
16. Inarekebisha matatizo kwenye tezi
17. Unatibu kipindupindu na kuharisha
18. Kifua kikuu
19. Kichwa kizito
20. Uchovu
21. Mzio
22. Vidonda vya tumbo
23. Maambukizi kwenye ngozi
24. Maumivu mbalimbali mwilini
25. Huondoa madoa doa meusi kwenye ngozi
26. Husafisha damu
27. Hutibu matatizo kwenye koo
28. Huondoa makohozi mazito kooni
29. Huondoa taka na msongamano kifuani
30. Hutibu kipindipindu
31. Huondoa moto wa jicho au uvimbe kwenye jicho
32. Hutibu maambukizi kwenye macho na kwenye masikio
33. Unatibu homa
34. Maumivu kwenye maungio
35. Huondoa chunusi
36. Hutibu matatizo karibu yote ya ngozi na kinga ya mwili
37. Matatizo kwenye mfumo wa upumuaji
38. Inatibu kiseyeye
39. Huongeza uwingi wa mbegu za kiume na nguvu kwa ujumla
40. Inatibu minyoo
41. Huongeza maziwa kwa wingi kwa mama anayenyonyesha
42. Huondoa uvimbe kwenye utumbo mpana
43. Inatibu ugonjwa wa kuvimba mwili
44. Inatibu kuhara damu
45. Inatibu kisonono
46. Unatibu tatizo la kukosa usingizi
47. Unatibu homa ya manjano
48. Unatibu malaria
49. Unatibu U.T.I na matatizo mengine kwenye mfumo wa mkojo
50. Unasaidia pia kujenga na kuimarisha misuli
51. Unatibu magonjwa ya mifupa
Mlonge uansafisha mwili wako wote, unasafisha ini, figo, moyo, macho, unaimarisha meno, ngozi na nywele. Wakati unatumia mlonge unakufanya ujisikie vizuri, ujisikie mpya na mwenye nguvu. Watu wengi wanaotumia mlonge huwa ni wenye afya nzuri hata kwa muonekano tu hata wanapokuwa na umri mkubwa zaidi ya miaka 90.
Majani ya mti wa mlonge pia yanaweza kutumika kutengeneza biogas. Hutumika pia kama chakala cha wanyama kama sungura , mbuzi, ng’mbe. Mbwa n.k. Sungura wanaonekana kupenda zaidi mlonge kuliko wanyama wote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom