Wamemsahau mdau mhimu, TRA huyu ndo anaona nani analipiwa mshahara kutoka wapi/ Au biashara yake iko wapi maana anakuja kufanya makadilio.Pia NSSF anaona nani analetewa mafao kutoka wapi
Unapofanya topup maana yake ni unachukua mkopo mpya lakin hupewi pesa zote, kiasi kinatumika kulipa mkopo wa kwanza then kinachobaki ndo unapewa cash, ndo maana unalipishwa bima na fee upya maana wao kwenye system ni wana process mkopo mpya, sema kuna argument kwenye kudai refund ya premium ya...
Nakubali mkuu hatimae CHADEMA imekufa sasa mimi inaniuma sana hel yangu niliwachangia aisee.Si wangewaaacha tu CCM waendeshe nchi wenyewe bureee kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.