Uchaguzi 2020 Chondechonde Vyama vya Upinzani, waacheni Wabunge waliochaguliwa na Viti Maalum wakatuwakilishe

hakuna mbunge kwenda, buku saba mtakufa njaa sana kazi yenu haina payroll tena, nyie ni nyani mliyefurahia kifo cha mkulima, msimu wa mahindi itakula kwenu hakuna mlimaji tena
 
Mkiwazuia hao mtetezi wetu atakuwa nani kule bungeni?

Muendelee kupigania haki za waliodhurumiwa wakati waliopewa haki wakiendelea kutuwakilisha, vinginevyo sisi tutakuwa wakiwa hatutakuwa na mtetezi.

Kama mjuavyo wale wa upande wa pili hawatakuwa na uwezo wa kuhoji lolote zaidi ya kuunga mkono na kupongeza hata kama halitakuwa na maslahi kwetu sisi wanyoge, hilo ni ombi ila mkifanya tofauti nitaandamana peke yangu.

Wananchi unaowaongelea kuwa wakawakilishwe ni wapi hao mkuu?
 
Mkiwazuia hao mtetezi wetu atakuwa nani kule bungeni?

Muendelee kupigania haki za waliodhurumiwa wakati waliopewa haki wakiendelea kutuwakilisha, vinginevyo sisi tutakuwa wakiwa hatutakuwa na mtetezi.

Kama mjuavyo wale wa upande wa pili hawatakuwa na uwezo wa kuhoji lolote zaidi ya kuunga mkono na kupongeza hata kama halitakuwa na maslahi kwetu sisi wanyoge, hilo ni ombi ila mkifanya tofauti nitaandamana peke yangu.
CCM mmeshikwa pabayaaaa
 
Hivyo Viti maalum vyama vya upinzani wapewe Ccm
Bunge liwe la kijani lote.
Si huwa mnasema wapinzani wanapinga maendeleo?
 
Chadema wana qualify kupata wabunge wa viti maalumu. Requirement ni kura za wabunge zifike at least 5% na chadema wamefika na kuzidi. Idadi inategemea na % juu ya hiyo 5%.
So, kwa kigezo hiko cdm wanastahili viti maalum vingapi?
 
CHADEMA wakigoma, CCM wanaweza kufanya lolote ikiwemo kubadilisha utaratibu haraka ili kuwapa hizo nafasi TLP au ‘mpinzani’ fake mwingine yeyote yule na ikawa hasara kwa Taifa double double.

Kumbuka kuna kamati mbili za mambo ya Fedha lazima ziongozwe na Wapinzani na CCM bila shaka watahakikisha hilo linatendeka

Viti maalumu plus hao wawili inaweza kuwa wabunge 18 hivi. Something is better than nothing na wakati mwingine ni sawa kuswallow pride ili kujipanga upya kama Taasisi
Shida chama kinachopaswa kwa mujibu wa katiba lazima kuzingatia idadi ya kura za wabunge.

Sasa TLP, CUF,TADEA,NCCR na makorokoro mengine sidhani kama watafikisha hata kura 10000
 
tindo,
Wewe ni miongoni mwa GT wa JF nakuheshimu sana. Uamzi wa kwenda bungeni Wabunge walitangazwa ni uamzi sahihi kwa sababu zifuatazo;
1.Wabunge hao hawakutangazwa kama hisani bali wamepambana na dhuluma hadi kutangazwa baada ya kuganikiwa kuzuia kuingizwa kura feki vituoni.

3.Wasimamizi wa Uchaguzi wa maeneo hayo wameongozwa na Utu na ucha Mungu na kuamua kuacha udhalimu na kutenda haki hivyo si sahihi kuwakatisha tamaa watumishi walioamua kumheshimu Mungu na kutenda haki.

3.Waliotangazwa hawakufanyiwa hivyo ili kupumbaza Dunia kwamba kuna demokrasia Tanzania. CCM walikuwa wameamua kunyang'anya kila kitu isipokuwa pale iliposhindikana.
Wakienda wanahalalisha uchaguzi haramu na kura haramu.
 
tindo,
Wewe ni miongoni mwa GT wa JF nakuheshimu sana. Uamzi wa kwenda bungeni Wabunge walitangazwa ni uamzi sahihi kwa sababu zifuatazo;
1.Wabunge hao hawakutangazwa kama hisani bali wamepambana na dhuluma hadi kutangazwa baada ya kuganikiwa kuzuia kuingizwa kura feki vituoni.

3.Wasimamizi wa Uchaguzi wa maeneo hayo wameongozwa na Utu na ucha Mungu na kuamua kuacha udhalimu na kutenda haki hivyo si sahihi kuwakatisha tamaa watumishi walioamua kumheshimu Mungu na kutenda haki.

3.Waliotangazwa hawakufanyiwa hivyo ili kupumbaza Dunia kwamba kuna demokrasia Tanzania. CCM walikuwa wameamua kunyang'anya kila kitu isipokuwa pale iliposhindikana.
Mwenyekiti wenu alisema msichanganyiwe na magunzi sasa hayo magunzi mnayahitaji bungeni ya nini ?
 
Una nia njema Ila hili unalolihoji linahitaji akili ya next level. Waache wanaume CHADEMA wapambane. Wapo sahihi zaidi.
 
Mnataka kuchanganya magunzi na betri, kurunzi halitawaka. Msimamo wetu ni hatutaki wapinga maendeleo bungeni, liacheni bunge liwe la kijani.
 
Hatutaki vibaraka wa MABEBERU kwenye bunge letu tukufu.:D:D:D:D:D:D:D:D:DAcha CCM na ushindi wa kishindo waendeshe nchi sasa
 
Hapana,wacha wabaki wenyewe wasijesingizia upinzani unakwamisha maendeleo!
Acha wafanye watakacho,hata wakitengeneza upinzani na kisha kuwapa nafasi hizo,ni sawa tu!
Pigeni kazi,uchaguzi umekwisha na tumeamua tuwaachie kila kitu CCM!
Nakubaliana na wewe aisee! CCM msichanganye magunzi na betri.
 
Back
Top Bottom