mwita ke mwita
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 7,845
- 3,481
hakuna mbunge kwenda, buku saba mtakufa njaa sana kazi yenu haina payroll tena, nyie ni nyani mliyefurahia kifo cha mkulima, msimu wa mahindi itakula kwenu hakuna mlimaji tena
Mkiwazuia hao mtetezi wetu atakuwa nani kule bungeni?
Muendelee kupigania haki za waliodhurumiwa wakati waliopewa haki wakiendelea kutuwakilisha, vinginevyo sisi tutakuwa wakiwa hatutakuwa na mtetezi.
Kama mjuavyo wale wa upande wa pili hawatakuwa na uwezo wa kuhoji lolote zaidi ya kuunga mkono na kupongeza hata kama halitakuwa na maslahi kwetu sisi wanyoge, hilo ni ombi ila mkifanya tofauti nitaandamana peke yangu.
CCM mmeshikwa pabayaaaaMkiwazuia hao mtetezi wetu atakuwa nani kule bungeni?
Muendelee kupigania haki za waliodhurumiwa wakati waliopewa haki wakiendelea kutuwakilisha, vinginevyo sisi tutakuwa wakiwa hatutakuwa na mtetezi.
Kama mjuavyo wale wa upande wa pili hawatakuwa na uwezo wa kuhoji lolote zaidi ya kuunga mkono na kupongeza hata kama halitakuwa na maslahi kwetu sisi wanyoge, hilo ni ombi ila mkifanya tofauti nitaandamana peke yangu.
😂😂😂 tindooMimi nasema waende ili wakale hela kwakuwa maisha ni magumu, lakini sioni lolote la maana humo ndani. Kwangu mimi hilo bunge ni upuuzi kama upuuzi mwingine.
Demokrasia ya ajabu sana hii. Afu Kuna jaji huko NEC anabariki huo uhuni😲Waliotangazwa kushinda ni mpango maalum na kwa malengo maalum. Ni Magu anaeamua nani awe mbunge na yupi aachwe
So, kwa kigezo hiko cdm wanastahili viti maalum vingapi?Chadema wana qualify kupata wabunge wa viti maalumu. Requirement ni kura za wabunge zifike at least 5% na chadema wamefika na kuzidi. Idadi inategemea na % juu ya hiyo 5%.
MwiziAnaona aibu nani mwizi au aliyeibiwa?
Siyo walioshinda, bali waliotunukiwa na jiweHivi walioshinda wa vyama vya upinzani ni wangapi?
Shida chama kinachopaswa kwa mujibu wa katiba lazima kuzingatia idadi ya kura za wabunge.CHADEMA wakigoma, CCM wanaweza kufanya lolote ikiwemo kubadilisha utaratibu haraka ili kuwapa hizo nafasi TLP au ‘mpinzani’ fake mwingine yeyote yule na ikawa hasara kwa Taifa double double.
Kumbuka kuna kamati mbili za mambo ya Fedha lazima ziongozwe na Wapinzani na CCM bila shaka watahakikisha hilo linatendeka
Viti maalumu plus hao wawili inaweza kuwa wabunge 18 hivi. Something is better than nothing na wakati mwingine ni sawa kuswallow pride ili kujipanga upya kama Taasisi
Wakienda wanahalalisha uchaguzi haramu na kura haramu.tindo,
Wewe ni miongoni mwa GT wa JF nakuheshimu sana. Uamzi wa kwenda bungeni Wabunge walitangazwa ni uamzi sahihi kwa sababu zifuatazo;
1.Wabunge hao hawakutangazwa kama hisani bali wamepambana na dhuluma hadi kutangazwa baada ya kuganikiwa kuzuia kuingizwa kura feki vituoni.
3.Wasimamizi wa Uchaguzi wa maeneo hayo wameongozwa na Utu na ucha Mungu na kuamua kuacha udhalimu na kutenda haki hivyo si sahihi kuwakatisha tamaa watumishi walioamua kumheshimu Mungu na kutenda haki.
3.Waliotangazwa hawakufanyiwa hivyo ili kupumbaza Dunia kwamba kuna demokrasia Tanzania. CCM walikuwa wameamua kunyang'anya kila kitu isipokuwa pale iliposhindikana.
Mwenyekiti wenu alisema msichanganyiwe na magunzi sasa hayo magunzi mnayahitaji bungeni ya nini ?tindo,
Wewe ni miongoni mwa GT wa JF nakuheshimu sana. Uamzi wa kwenda bungeni Wabunge walitangazwa ni uamzi sahihi kwa sababu zifuatazo;
1.Wabunge hao hawakutangazwa kama hisani bali wamepambana na dhuluma hadi kutangazwa baada ya kuganikiwa kuzuia kuingizwa kura feki vituoni.
3.Wasimamizi wa Uchaguzi wa maeneo hayo wameongozwa na Utu na ucha Mungu na kuamua kuacha udhalimu na kutenda haki hivyo si sahihi kuwakatisha tamaa watumishi walioamua kumheshimu Mungu na kutenda haki.
3.Waliotangazwa hawakufanyiwa hivyo ili kupumbaza Dunia kwamba kuna demokrasia Tanzania. CCM walikuwa wameamua kunyang'anya kila kitu isipokuwa pale iliposhindikana.
Tanzania bara wawiliHivi walioshinda wa vyama vya upinzani ni wangapi?
Zanzibar ACT wote wamegoma kwenda bungeniBara wawili. Zanzibar nadhani ni 6
Nakubaliana na wewe aisee! CCM msichanganye magunzi na betri.Hapana,wacha wabaki wenyewe wasijesingizia upinzani unakwamisha maendeleo!
Acha wafanye watakacho,hata wakitengeneza upinzani na kisha kuwapa nafasi hizo,ni sawa tu!
Pigeni kazi,uchaguzi umekwisha na tumeamua tuwaachie kila kitu CCM!
Safi sana.Naona wao waliochaguliwa waendelee na shuguli za wananchi. Ni bora hao 18 kuliko kuwa bila hata moja ndani ya mjengo.
Waache wale bana! Mbunge mmoja ni insignificant. Ataishia kuzomewa tu. Angalau apate posho yake.Wakisusa wenzao wala Mana watakuwa hawajengi ila ni kubomoa na kazi yao huwa wanafikiriaga kubomoa