aisee umenisikitisha sana!mwanasosholojia na kauelewa ka psychology umeshindwa kubadili akili ya 'kondoo' mmoja anaepotea?nguvu unayoitumia hapa ungemuweka chini kijana ukamuelewesha nadhani angebadili msimamo,badala yake unajustify sijui mlambalamba midomo,suruali kata k...ndo nini sasa.
Ama...
ushasema maelezo wanayotoa hayakuingii akilini hata kama wakirudia mara 10,utasaidiwaje sasa?
ila kwa kujisaidia wewe mwenyewe,anza kwanza wewe kupimwa akili.
Mungu Ibariki Tanzania.
dogo bhana!ulichokosea ni kutaka kutuaminisha kuwa ulimpenda 'toka moyoni'.
afu demu 'alikuonjesha' tu baada ya kukupiga sana kalenda,hakuwa amemaliza ufundi!na ungeenda nae ado ado ungemfaidi kinoma yani,kakupiga kalenda nyundo nzima?atakuwa anajitambua huyo.
anyway,poa tu ulivyofanya uache...
kwenye jibu langu nilitumia maneno 'ulipaswa uoneshe'....sikusema hukufanya!
bado nabaki na jibu langu kwa mkuu sosoliso,hadi hapo nitakapoaminishwa vinginevyo.
sasa unadhani kupinga kwako bila hoja za msingi kutaleta mabadiliko gani?okoa nguvu na muda,fanya mambo yatakayokunufaisha binafsi angalau.
waachie watu wajadili hoja kwa faida yetu sote,usiwe bendera wafuata upepo!
mkuu,ukijaribu kustick kwenye hoja at hand na ukawa willing kutafuta maelezo toka kwa wahusika naamini ungekuwa na mtazamo tofauti na huo.
kwa kukusaidia wewe na watanzania wengine,mh.naibu waziri Simbachawene kamaliza kipindi sasa hivi ITV na katoa maelezo mazuri sana!
i believe that is how...
hilo hitimisho lako linatokana na radio mbao za mitaani!huna ushahidi!
mimi pia nimekuwa nimezungukwa na wote lakini naogopa kugeneralize kishabiki kama ufanyavyo maana nitakuwa naifisha akili yangu na haitonisaidia.
mkuu,hatujengi hoja kwa kuangalia,tunachunguza!hicho ulichosema una ushahidi nacho?ndio msingi wa hoja ulipo.
halafu unajua tofauti ya 'influence' na 'controi?' in respect kwa hayo hayo mazingira unayoyazungumzia?
zaidi ya hayo napata shida sana na hyo id yako.
samahani lakini
naomba nikushauri kiroho safi kabisa,'mitazamo' ya hapa hujengwa na detailed analysis,hivyo inapasa uoneshe japo nawe kidogo umefanya hivyo vinginevyo ni vema ukakaa kimya kwa sababu ukikurupuka haikujengi wewe wala sisi!tutakuwa tunapotezeana muda,na hilo sio dhumuni la kuwemo humu.
Kiroho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.