Waliotuchangia (nchi za jirani) wakisikia haya watafurahi na roho zao, hatuombei mabaya ila likitokea lingine huo mziki tutaucheza wenyewe na nadhani hata mwananchi hatochangia.....inatia hasira na kinyaa!! Mtu anapata sauti ya kusemea pesa za wahanga tena kwa dhuruma....Tunamwachia mungu...
Usiwe bias ....kwanini umesema mtu ni yuleyule, then unaruka unasema eti walipe kwa kuangalia viwango vya elimu, kwani mwenye PhD akilipwa kama wa degree hawezi kuishi?
In short hilo unalolitaka haliwezekani na uache ubinafsi
Hata mi wamenipigia na nimeapply mpaka mwisho sasa wanataka deposit ya 20$ kama application fee, hapo ndo nikahisi kama nataka kufanyiwa uhuni. Natamani nipate evidence za kutosha then nifanye maamuzi sahihi.
Asante sana ndugu
Hata mimi hii hali huwa inanitokea sielewi ni kitu gani. Hata leo nimeota niko angani na nimepaa umbali mrefu sana.
Kama kuna mwenye utaalamu zaidi wa hili jambo atueleze kiundani jamani
Huu ni ufinyu wa mawazo yake, kila mtu ana mapungufu ila huyu amepungukiwa zaidi, anadhani wanaotoa mpaka dola 400, 000 wana hela sana ama? Utu na ubinadamu kwanza! bwana.... Anaboa huyu jamaa sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.