Recent content by kishokola

  1. K

    Kero: ITV na ubaguzi wa habari

    Habari za ACT wanazirusha saa tano na nusu usiku yaan hawa jamaa sjui ukawa?
  2. K

    Kwanini Madrasa za Waislam zinafungwa?

    Kama hujaelwa na kama hufatilii mambo ka kimya cz nahis kama upo empty set
  3. K

    Kwanini Madrasa za Waislam zinafungwa?

    We ----- hapo hujaelewa nn nime kupa mfano kama muislam yeyote ange mkashf mufti simba wa bakwata ndugu yenu huyo mwislma angekiona chamoto kwakuwa bakwata ni ccm b Kibaya zaidi nashangaa kwa nini wanasheria wachadema ndo wanasheria wa gwajima sjui kuna siri gani pale. Na mnapo zungumza rais...
  4. K

    Kwanini Madrasa za Waislam zinafungwa?

    myoyambendi Leo umefanikiwa kuangalia taarifa ya habari ITV?
  5. K

    Kwanini Madrasa za Waislam zinafungwa?

    Ndugu wanajamvi, nimekuwa nikifuatilia jinsi serikali yetu ya Tanzania inavyoanza kutengeneza na kuwaandaa waislam na wapinga dhulma kujiunga na ugaidi. Kama mwezi mmoja uliopita nimekuwa nikiona msako mkali wa kuzifunga madrasa huko Arusha na Moshi, polisi na serikali kwa ujumla wakiziita...
  6. K

    Yupo wapi Mzee Samadu Hassan?

    Star tv nadhan pana shida kwani watangazaji wazuri wote wamesepa. Huyu mzee japo ni mtaalam nadhan kwa Bongo yetu hakuna anayefua dafu kwa anga za kimataifa, ila wazee amechoka huyu mzee balaa. Nilikuwa namuona pale Chakechake ndo kituo chake cha dala dala na koti lake amechokaaaa
  7. K

    ACT- Tanzania: Taarifa kwa vyombo habari

    Pelham....chama kipi ambacho hakuna kasoro?..c mlisema chadema sio zitto eti mnachukua maamuzi magum? Sasa kwa nn mnaanza kujamba? Tulien basi ndo kwanza game lina anza kitaeleweka na tuta heshimiana kuweni wapole kama mna nyolewa.
  8. K

    ACT- Tanzania: Taarifa kwa vyombo habari

    Chama kichanga unakijua wewe....kwan chama chako hakikuanza kikiwa kichanga?
  9. K

    ACT- Tanzania: Taarifa kwa vyombo habari

    Kaa na theory zako za usaliti ulizo mezeshwa na mbowe huku wenzako hawana habari na ww itakula kwako.. Hivi nani asie msaliti? Mbona shibuda na wengine wengi akina slaa walivo toka ccm kuna chadema hamja waita wasaliti? Acha akili za kubebewa changanya na zako sawa kaka.....??
  10. K

    Rai ya wazi kwa Zitto Kabwe

    @vuta -nkuvute mbona una hangaika sana na mzalendo zitto c mlisha mfukuza unataka Mwenyekit awe kibaraka wenu limbu? Acha afanye atakavo cz nae anahaki yakufany chochote ndani ya nchi hii
  11. K

    Zitto Kabwe, Ukombozi hauletwi kwa maneno matamu

    Kaka umesahau kuwa usalama wa meli ni nahodha mzuri? Mabaharia wapo tu ila kazi yao ni ndogo. Zitto c mtu wa maneno ni mtu wa vitendo..
  12. K

    CHADEMA Kigoma wampania Zitto

    Kigoma hawajali chama wana angalia mtu mfano kafulila akihamia ccm atapita kama kawaida hivo hivo kwa zitto kigoma yote ni mali yake
  13. K

    Zitto kuaga wabunge wenzake leo - Machi 19, 2015

    Mi nasubir baada ya zitto kuondaka chadema nani atafuata kuitwa msaliti
  14. K

    Mipango miovu ya CHADEMA kuivuruga ACT

    Haaaaa....hamlali kisa ACT... kuwa CDM nisawa na kupiga mashine li kahaba bila ndom... Eti chama cha democrasia....miku....yenu democrasia gana m2 ukihoji unaitwa msaliti,? Eti maendeleo....maendeleo gani mmeleta tangu mme anza kula ruzuku?..hata darasa moja lakina kayumba hamjawahi...
Back
Top Bottom