We ----- hapo hujaelewa nn nime kupa mfano kama muislam yeyote ange mkashf mufti simba wa bakwata ndugu yenu huyo mwislma angekiona chamoto kwakuwa bakwata ni ccm b
Kibaya zaidi nashangaa kwa nini wanasheria wachadema ndo wanasheria wa gwajima sjui kuna siri gani pale.
Na mnapo zungumza rais...
Ndugu wanajamvi, nimekuwa nikifuatilia jinsi serikali yetu ya Tanzania inavyoanza kutengeneza na kuwaandaa waislam na wapinga dhulma kujiunga na ugaidi.
Kama mwezi mmoja uliopita nimekuwa nikiona msako mkali wa kuzifunga madrasa huko Arusha na Moshi, polisi na serikali kwa ujumla wakiziita...
Star tv nadhan pana shida kwani watangazaji wazuri wote wamesepa.
Huyu mzee japo ni mtaalam nadhan kwa Bongo yetu hakuna anayefua dafu kwa anga za kimataifa, ila wazee amechoka huyu mzee balaa.
Nilikuwa namuona pale Chakechake ndo kituo chake cha dala dala na koti lake amechokaaaa
Pelham....chama kipi ambacho hakuna kasoro?..c mlisema chadema sio zitto eti mnachukua maamuzi magum? Sasa kwa nn mnaanza kujamba? Tulien basi ndo kwanza game lina anza kitaeleweka na tuta heshimiana kuweni wapole kama mna nyolewa.
Kaa na theory zako za usaliti ulizo mezeshwa na mbowe huku wenzako hawana habari na ww itakula kwako..
Hivi nani asie msaliti? Mbona shibuda na wengine wengi akina slaa walivo toka ccm kuna chadema hamja waita wasaliti?
Acha akili za kubebewa changanya na zako sawa kaka.....??
@vuta -nkuvute mbona una hangaika sana na mzalendo zitto c mlisha mfukuza unataka Mwenyekit awe kibaraka wenu limbu?
Acha afanye atakavo cz nae anahaki yakufany chochote ndani ya nchi hii
Haaaaa....hamlali kisa ACT...
kuwa CDM nisawa na kupiga mashine li kahaba bila ndom...
Eti chama cha democrasia....miku....yenu democrasia gana m2 ukihoji unaitwa msaliti,?
Eti maendeleo....maendeleo gani mmeleta tangu mme anza kula ruzuku?..hata darasa moja lakina kayumba hamjawahi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.