Kaliua urambo
JF-Expert Member
- Apr 21, 2009
- 603
- 127
CHADEMA bado ipo Kigoma? Siasa hizi bana huyo jamaa yeye amfurahishe tu Mfalme MBOWE.Zitto jimbo lolote la Kigoma anashinda.
Sio kigoma tu popote pale isipokuwa nchi ya ARUSHA na mbeya
CHADEMA bado ipo Kigoma? Siasa hizi bana huyo jamaa yeye amfurahishe tu Mfalme MBOWE.Zitto jimbo lolote la Kigoma anashinda.
Ivi nini kimemkimbiza zitto kigoma kaskazini na kwenda kigoma Mjini?
una matatizo wewe, ulasazee
a naye muunga mkono uyu msaliti majority ni ccm. kwann msimpe nafas a kawa Mwenyekiti wenu badala ya jk kikwete...
anahaki ya kugombea jimbo lolote wamesha mpangia Serukamba aende kwake na yeye atete jimbo kwa chama tawala CCM Nawala si ATC
mnafiki na mpenda sifa utamjua tu, kwao hajamalizana nao anavamia kwingine, kifuatacho ni kunyima kura akaangukie pua.
Sio kigoma tu popote pale isipokuwa nchi ya ARUSHA na mbeya
Zitto sio mwanasiasa Jamii ya Mama ana Abdallah amvae ana miaka 45 bungeni.
Zitto aliahidi kuitumikia Kigoma Ks kwa 10 yrs.
Zitto ndio mwanasiasa ambae anaweza kwenda jimbo lilote Tanzania na kushinda uchaguzi.
Kigoma hawajali chama wana angalia mtu mfano kafulila akihamia ccm atapita kama kawaida hivo hivo kwa zitto kigoma yote ni mali yake
CHADEMA bado ipo Kigoma? Siasa hizi bana huyo jamaa yeye amfurahishe tu Mfalme MBOWE.Zitto jimbo lolote la Kigoma anashinda.
Tulieni sindano iwaingie, mmemfukuza wenyewe. Suala la kutokugombea jimbo ni ahadi ya muda mrefu wala sio wazo la leo. Toka kampeini za 2010 aliahidi ndo kipindi chake cha mwisho kugombea Kgm Kaskazini, sa kinachowawewesesha mapema ni nini? Kgm mjini wako ladhi jimbo waendelee kulitoa sadaka kwa ccm kuliko kutawaliwa na wachaga. kwani mmewanyanyasa sana waha na kuwatukana vya kutosha hawana haja na nyie.
Waha huwa hawayumbishwi na siasa nyepesi ndio maana kina Kafulila na kina Machali walipofukuzwa CDM walienda NCCR na wakashinda bila Shida.
Zitto sio mwanasiasa Jamii ya Mama ana Abdallah amvae ana miaka 45 bungeni.
Zitto aliahidi kuitumikia Kigoma Ks kwa 10 yrs.
Zitto ndio mwanasiasa ambae anaweza kwenda jimbo lilote Tanzania na kushinda uchaguzi.