Marekebisho kidogo mkuu , hawana uwezo wa kufanya mkutano , ni kijiuzinduzi cha kizushi tu .
Eti sasa wanasonga mbele!!! Mnasonga mbele na usaliti wenu wa kutaka kuisambaratisha CHADEMA.
Wanaosifia ATC bila kuangalia kasoro ni vichwa maji, hata siku moja huwezi ukashabikia chama kinachoingia kuvuruga vyama pinzani kisa ngivu ya mtu mmoja, Zito anachofanya sasa hv kuwakomoa Chadema nakuruga mipango ya Ukawa hii haipo sawa kabisaaaaa...
weka picha za mkutano wa ACT popote ulipofanyikaChama kichanga unakijua wewe....kwan chama chako hakikuanza kikiwa kichanga?
Ndani ya miaka mitano ijayo tutajua hizi ni kelele za Debe lililotoboka au lah!
Mrema alipotoka CCM tulim beba juju tukasukuma gari lake tukapigwa sana mabom ya machozi. Aah kumbe ulikuwa upepo. Haya leo hii ni mkiti wa TLP tena yuko bungeni. Lakini akili yake iko CCM.
Steven Wasira akatoka CCM akaingia NCCR akapata na ubunge mh leo hii yuko wapi? CCM..
Hawa wakubwa wanapoondoka kwenye vyama vyao ni hasira tu ya kukosa kitu flani. Lakini mara zote wakihama akili na mioyo yao hubaki kule walikotoka.
Ili wabaki hai kisiasa lazima atarudi tu alikotoka, akikomaa atapotea taratibu. Baadae tutamsahau.
Amani aliondoka CDM leo yuko wapi!
CCM huwa haina shida na useless ibdividuals ukishapoteza umuhimu katika kazi yao unaachwa upotelee mbali.
Safi sana safari ya ukombozi inaanza...
Nasikia mh kikwete na kinana atakuwepo
mtaandika mengi sana mtasema mengi lakini Dr.Slaa ndo raisi mtarajiwa tunajua roho ya ccm imeshikiliwa na Lowasa ccm msipomtisha ccm itakufa hata mkipitishaji ccm itakufa .Mhhh kumbe tusimwamini Dr Slaa eti?maana nae aliruka toka CCM baada ya kukosa kuteuliwa ubunge kama Wasira vile?kweli wewe genius
msalani vipi ulikuwa umejificha wapi hajaalikwaAnaikomoaje CHADEMA?
Anavurugaje Mipango ya UKAWA? At least tuambieni na sisi tuelewe.
Eti sasa wanasonga mbele!!! Mnasonga mbele na usaliti wenu wa kutaka kuisambaratisha CHADEMA.
Fungua ukurasa mpya mkuu, wenzio hawana muda na chadema tena all they talk/write is about act. Ukiona mtu anamjadili mwanamke aliyemtimua (ni mfano tu) ujue bado anampenda