Mipango miovu ya CHADEMA kuivuruga ACT

Mipango miovu ya CHADEMA kuivuruga ACT

Kikao kilichofanyika wiki iliyopita kilichoongozwa na Dr. Slaa kimepanga kuhakikisha chama cha ACT hakipati ushindi kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa. Chadema kimepanga kuwarubuni wagombea wa ACT na kukihujumu kwa kukichafua kwenye vyombo vya habari kwa kutumia kurugenzi ya habari..
Kuwalisha maneno vijana wa ACT ili kuvuruga Chama.
Chadema acheni michezo michafu kuwahonga vijana wa ACT huko ni matumizi mabaya ya ruzuku.

Kwa hiyo akina Mwigamba wanatumiwa na CDM? maana hao ndio wanaongoza kuivuruga ACT
 
Basi kwa maana hiyo cdm ni 210 inaznguka sekenge ccm na dala kitonga ccm inapanda na dala wami ambapo ndo act inazunguka na sita yake
 
Ninyi ni nani hadi mvurugwe? Dr. Slaa hana muda mchafu kama huo, anashughulikia mambo makubwa ya kitaifa, kama ndo propaganda za kijinga za Kitila Mkumbo na mwigamba alizowapa basi nyote hamna akili na hamjui siasa! nimewaheshimu tu kwa leo siku nyingine nitawatukana kwa ujinga huu.
 
Propaganda uchwara! ACT yenu hiyo imekwishakufa hata kabla ya kuzaliwa!

Kama ACT imekufa kwa nini mnafanya vikao vya kuivuruga.? Chadema hamli, hamlali kwa ajili ya ACT
 
mbona act ilishavurugika zamani sana?we uko dunia ya ngapi?yaani ilivurugika kabla ya kuvurugwa

Mbona kila siku Chadema mnafanya vikao vya kuivuruga ? ACT inawatisha sana eeeh
 
Hivi na ninyi bila aibu mnajiona ni chama? Chama gani.kinachopingana na upinzani? Kuna tofauti gani kati ya ACT na UVCCM? I don't see any difference at all.

Muulize dr. slaa kwa nini anaipinga sana ACT
 
Kikao kilichofanyika wiki iliyopita kilichoongozwa na Dr. Slaa kimepanga kuhakikisha chama cha ACT hakipati ushindi kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa. Chadema kimepanga kuwarubuni wagombea wa ACT na kukihujumu kwa kukichafua kwenye vyombo vya habari kwa kutumia kurugenzi ya habari..
Kuwalisha maneno vijana wa ACT ili kuvuruga Chama.
Chadema acheni michezo michafu kuwahonga vijana wa ACT huko ni matumizi mabaya ya ruzuku.


Huo mchezo mnao nyie miccm,Cdm ni chama kinachoongozwa kitaalam kuliko vyama vingi bara hili
 
Mkuu naongezea tu! Chadema kuihujumu act ni sawa na Baba mwenye akili timamu kufanya mapenzi na kitoto kichanga.

Haaaaa....hamlali kisa ACT...
kuwa CDM nisawa na kupiga mashine li kahaba bila ndom...

Eti chama cha democrasia....miku....yenu democrasia gana m2 ukihoji unaitwa msaliti,?

Eti maendeleo....maendeleo gani mmeleta tangu mme anza kula ruzuku?..hata darasa moja lakina kayumba hamjawahi kujenga...hata choo cha watoto wachekechea hamja wahi kujenga....nyie ni maendeleo gani mnayo maanisha?

Au maandamano na fujo plus kudandia hoja za watu....oneni mfano NCCR wana kesi na Kafulila ila bado wana mkubali na wana fanya kazi pamoja..
Nyie chama gan hata maamuzi ya mahakama ham yakubali?

siku mkishika nchi 70% ya wapinzani wenu watauliwa....ndo mana siwapendi nyie jamaa....thats y we need the part wchich will be mbadala wa CDM na CCM cz mmelewa sifa.
 
Si mlisema mmeanzisha chama kupambana na CDM au? Sasa hamjaguswa mshashusha utelezi chepe chepe.
 
Kikao kilichofanyika wiki iliyopita kilichoongozwa na Dr. Slaa kimepanga kuhakikisha chama cha ACT hakipati ushindi kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa. Chadema kimepanga kuwarubuni wagombea wa ACT na kukihujumu kwa kukichafua kwenye vyombo vya habari kwa kutumia kurugenzi ya habari..
Kuwalisha maneno vijana wa ACT ili kuvuruga Chama.
Chadema acheni michezo michafu kuwahonga vijana wa ACT huko ni matumizi mabaya ya ruzuku.

attachment.php


Hawa watu wanatutosha.. walioenda ACT ni wasaliti.
 
Wewe tatizo lako ni ujinga. Unadhani dunia nzima wanaongea lugha ya kwenu. Habari za rushwa na kuhongana, ulaghai na kuvuruga vyama ni lugha ya ccm na act peke yenu wala si lugha ya kiamtaifa.

Jifieni mbali!. Hivi ACT ni nini kwa CHaDEMA by the way?

Wehu!


Kikao kilichofanyika wiki iliyopita kilichoongozwa na Dr. Slaa kimepanga kuhakikisha chama cha ACT hakipati ushindi kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa. Chadema kimepanga kuwarubuni wagombea wa ACT na kukihujumu kwa kukichafua kwenye vyombo vya habari kwa kutumia kurugenzi ya habari..
Kuwalisha maneno vijana wa ACT ili kuvuruga Chama.
Chadema acheni michezo michafu kuwahonga vijana wa ACT huko ni matumizi mabaya ya ruzuku.
 
Back
Top Bottom