Recent content by kishimba75

  1. K

    Kn anaejua khs zile post 19 za PSPF

    Nltm appl yangu ya kazi 2mo ago lkn mpk leo zijasikia simu wala kuona barua wala kuona tangazo ktk website yao km shortlisting imefanyika je kuna mwenye habari na hili km ni miongoni aliyeomba kz
  2. K

    Ndege ya Marehemu Wakili Nyaga Mawalla yaanguka na kuharibika 'write-off'

    Ss cjui uhuu msiba baba wa the late mawalla atahudhuris au?
  3. K

    Dr Slaa: Tupo Makini kuliko CCM, Usalama wa Taifa....

    Si inasemakana kinakufa b4 2015, ngoja tusubiri mana yetu macho
  4. K

    Haya tena kwa wale wanaotaka kusafiri ulaya kuja kikazi au kimaisha

    Even my was constructive criticism km kweli umesoma maelezo yangu vzr.
  5. K

    Haya tena kwa wale wanaotaka kusafiri ulaya kuja kikazi au kimaisha

    Mkasika. Wewe km umesoma vzr maelezo yangu usingekurupuka na english yako broken! Ndo mana wanajamvini wengine wameeelewa na kuendelea kucomment vyema. Let me repeat 4ur benefit and others dont have much expectation before u reach those land they so called developed countries, for sure you will...
  6. K

    Haya tena kwa wale wanaotaka kusafiri ulaya kuja kikazi au kimaisha

    Acha kuwaraghai watu hkn kazi ulaya zaidi ya kubeba box. Iwe umesoma degree Tz au Ulaya bado ngumu kwa mwafrika kpt kz professional. Mi naongea haya c kwa kusikia bali nimekaa Norway 4yrs nikaja Uk nikakaa 5yrs, nikaona hkn ramani ya kimapato zaidi ya kupt hz huduma unazosema eti kutibiwa bure...
  7. K

    Margaret Thatcher has died!!!

    Former UK PM Margaret Thatcher dies http://www.cnn.com/2013/04/08/world/europe/uk-margaret-thatcher-dead/index.html
  8. K

    Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

    Mimi naona kidunia watu wanaona km normal practice lkn kidini bila kubagua hili jambo la kuenenda kinyume na maumbile ya kawaida km yalivyokusudiwa na Mungu mi nakemea kabisa na ni dhambi kubwa! Tena niwachekeshe rfk yangu mmoja muslim by dini aliniambia shetani na ujanja wake wote atakushawishi...
  9. K

    CHADEMA taifa vipande vipande! Soma barua hii ya Zitto

    Lkn mbona haijasainiwa au sababu yeye naibu ktb wa CDM
  10. K

    Nape: Jitegemee Trading Company ni mali ya CCM, lakini...

    Mgomba 101 mi nakushauri shusha jazba. Na mi nakueleza km we ni kijana(mn cjui umri wako) na ukaenda kwa jinsi unavyooenda kashfa na mengineyo kweli utafaha hapa ktk hii forum mn huu ukurasa wa majadiliano na si kashfa&jazba. Jirekibishe km umeteleza
  11. K

    Mapya CHADEMA, video zaidi zanaswa

    Usikurupuke soma habari vizuri kasema makada wa CDM na watu wengine wasiojulikana. Vp bana mbona ushabiki ni zaidi kuliko hoja kuwa mpole kaka acha jazba!
  12. K

    Denis Msaki ni nani Katika siasa za Tanzania?

    ZZK chagua sehemu salama hope unapajua krb sanaaa
  13. K

    Kila mtu wa Kagera anayetofautiana na serikali huitwa mhaini, mchochezi mhamiaji haramu!

    Huu sasa ni uchochezi. Kila mtu akitaka kutaja kabila lake na hujuma dhidi c hapatakalika. Plz weka mada ktk hali ya kutoonyesha ukabila. Kwanza kesi ipo mahakamani ss tatizo ni nini tusubiri sheria ifiate mkondo wake
Back
Top Bottom