Hivi ushuru unaotozwa pale Ubungo unapoingia au kutoka ni wa nini. Kituo mvua ikinyesha hamna sehemu ya kujihifadhi. Miundombinu mibovu. Mheshimiwa Makonda tunaomba utupigie jicho pale Ubungo
Pole.sasa kama kitu kidogo hivyo anavuta mdomo sipati picha.Maana mna safari ndefu katika hayo maisha yenu ya ndoa.kuna tatizo mahali.kaeni muwekane sawa
Mshamba mwenyewe .Wewe kama huna pa kwenda na huna hela za kwenda kutumia si uwaache wenzako wakatumie.Wewe kwenda kwenu mpaka ulazimishwe.Waache wanaopenda kwao waende
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.